Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Hawa waliookotwa UVCCM , kazi yao kubwa ni kudukua Chadema tuNchi kufikia level hii ni mapungufu ya Vyombo vyetu vya Usalama wa Taifa.
Havina weledi wa kuongoza Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa waliookotwa UVCCM , kazi yao kubwa ni kudukua Chadema tuNchi kufikia level hii ni mapungufu ya Vyombo vyetu vya Usalama wa Taifa.
Havina weledi wa kuongoza Taifa.
mara hawapewi fomu , mara sumu , tushike lipi ?Si waliambiwa sumu haionjwi Kwa kulamba au ?? Wew unadhana kulikuwa na fair competition hapo
Wewe pia mbona hujachambua ?Page ya tatu ya thread sijaona mtu yoyote amejalibu hata kuchambua hizi page mbili tuu. ni matusi, uchadema na uCCM, unatamani kulia. vijana mbadilike.
hook ya Canelo hiyo. Huyo ni Amir khan
Ahsante....Moja.. inasemwa ni bandari ya Dsm lakini Hansard inasema maeneo yote ya maji Tanzania, Bahari, Maziwa, bandari za nchi kavu.Wewe pia mbona hujachambua ?
Na ndiyo ilikuwa lengo na dhamira ya jiwe kuwakusanya hawa vilaza waliokuwa wanamuabudu ili wampe urais wa maisha.Mungu fundi hivi hawa wabunge wangeweza kuzuia muswada wa kubadili katiba Ili jiwe asitoke?
kwani kukodisha sehemu ya bandari kwa wawekezaji kuna ubaya gani?Kumekuwa na Mijadala nchi nzima kuhusu Wageni walioletwa ili kuendesha Bandari yetu ya Dar es Salaam , kila mtu anasema lake .
Sasa baada ya Mkanganyiko huo tukaona ni vema tukienda kwenye Hansard na "kudukua" Azimio lililotolewa Bungeni likishawishi Wabunge wakubali uuzwaji huo .
Hebu Jisomee mwenyewe ili upate undani wake na kuokota baadhi ya hoja za Kuchangia .
View attachment 2647900View attachment 2647901
Uko nyuma sana !kwani kukodisha sehemu ya bandari kwa wawekezaji kuna ubaya gani?
Hata hawa wanakula Rushwa lakini ukiangalia Eti Msukuma ni mbunge nachokaOna bunge la wenzetu (UK) lenye wabunge wenye akili.
Sisi tuna bunge kubwa lenye wabunge wanao jua "kuandika, kusoma na kuhesabu". aioView attachment 2647937
Wewe kemea.Hutaona Mbowe ,Lema,Zito wala Lisu wakikemea hili wako bize kumsema vibaya Magufuli tu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe kemea.
Tungemuuza Samia kwanza na serikali yake halafu mengine yafuatieKumekuwa na Mijadala nchi nzima kuhusu Wageni walioletwa ili kuendesha Bandari yetu ya Dar es Salaam , kila mtu anasema lake .
Sasa baada ya Mkanganyiko huo tukaona ni vema tukienda kwenye Hansard na "kudukua" Azimio lililotolewa Bungeni likishawishi Wabunge wakubali uuzwaji huo .
Hebu Jisomee mwenyewe ili upate undani wake na kuokota baadhi ya hoja za Kuchangia .
View attachment 2647900View attachment 2647901
Je anauzika ?Tungemuuza Samia kwanza na serikali yake halafu mengine yafuatie
Anauzika kirahisi. Kama wapo wanaompata bureeee itakuwaje wanunuzi? Ikishindikana tumgaweJe anauzika ?
Kafe naeHutaona Mbowe ,Lema,Zito wala Lisu wakikemea hili wako bize kumsema vibaya Magufuli tu.
Kwa hiyo wewe unayelipa Kodi unawategemea wao si ndiyo??Hao kina mbowe wanalipwa mishahara na kupata ruzuku za wafadhili sababu hiyo. So ni moja ya majukumu yao ya msingi kikemea