Azimio Bunge la kuridhia makubaliano kati ya Tanzania na Dubai kuboresha bandari ya Dar es Salaam

Msukuma amesema aliongea na Mfalme wa Dubai labda moja ya mambo alichombeza ni hilo la bandari
 
bado hujapata wa kukukuna bado? We huwa unawashwa sana ukisikia serikali hii inafanya jambo lolote la kheri
 
Ni ukosefu wa akili kuipa serikali ya nchi nyingine imiliki lango kuu la nchi Yako.

Hilo jambo sio Bure . Rushwa itakua imehusika.
Mkuu wewe si ulisema Chama kwanza halafu mengine baadaye !
 
Mwambe , Sumaye wote waligombea na walipewa fomu , Sumaye akala kona , Mwambe akaambulia namba za viatu
Si waliambiwa sumu haionjwi Kwa kulamba au ?? Wew unadhana kulikuwa na fair competition hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…