William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #281
Asante sana Mkuu........ hivi jamani ni nchi gani iliyoendelea duniani isiyo na miiko/maadili kwa viongozi wake.........
- Nchi zineendelea Duniani kwa kuheshimu utawala Sheria sio anything else, huko maadili na miiko imo kwenye sheria sio Azimio, ukweli ni kwamba Azimio lilikua na nia moja tu nayo ni kuimarisha utawala wa chama kimoja lakini sio kuwasaidia wananchi,
-I mean yameandikwa mengi humu as far as academy is concern, sasa swali ni kwa nini hayakuwezekana kutekelezwa?
William.