Azimio la kuitambua Palestina lapita UN kwa kura 143. Kikwazo bado ni Marekani tu

Azimio la kuitambua Palestina lapita UN kwa kura 143. Kikwazo bado ni Marekani tu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Uamuzi wa Hamas kulitetea taifa la Palestina unaendelea kuzaa matunda kwa mataifa mengi zaidi kuendelea kulitambua taifa hilo katika ngazi ya Umoja wa mataifa.

Katika kura zilizopigwa jana kwenye baraza kuu la UN jumla ya kura 143 ziliunga mkono,Tisa tu ndizo zilizokataa na 25 wakaamua kutopiga kura.

Baada ya hatua hiyo ambayo inaitambua Palestina kwa mipaka yake ya 1967 azimio hilo linatarajiwa kupelekwa kwenye baraza la usalama la jumuiya hiyo ambako nchi moja kati ya tano ikipiga kura ya veto basi azimio hilo halitopita. Nchi inayohofiwa zaidi na ambayo imeshafanya hivyo mara nyingi dhidi ya haki za Palestina ni Marekani pekee.

Baada ya azimio hilo kupata uungwaji mkono mkubwa kiasi hicho ,balozi wa Israel katika umoja wa mataifa alifoka na kuushutumu umoja wa mataifa kuwa umekubali kuruhusu taifa la kigaidi kujiunga na umoja huo.
 
Palestine wanastahili kuwa na taifa lao huru kama nchi
LAKINI kwanza ni lazima HAMAS watokomezwe
Hamas msimamo wao ni “from the lake to the sea” which means wanataka Israel yote iwe aridhi yao
 
Uamuzi wa Hamas kulitetea taifa la Palestina unaendelea kuzaa matunda kwa mataifa mengi zaidi kuendelea kulitambua taifa hilo katika ngazi ya Umoja wa mataifa.

Katika kura zilizopigwa jana kwenye baraza kuu la UN jumla ya kura 143 ziliunga mkono,Tisa tu ndizo zilizokataa na 25 wakaamua kutopiga kura.

Baada ya hatua hiyo ambayo inaitambua Palestina kwa mipaka yake ya 1967 azimio hilo linatarajiwa kupelekwa kwenye baraza la usalama la jumuiya hiyo ambako nchi moja kati ya tano ikipiga kura ya veto basi azimio hilo halitopita. Nchi inayohofiwa zaidi na ambayo imeshafanya hivyo mara nyingi dhidi ya haki za Palestina ni Marekani pekee.

Baada ya azimio hilo kupata uungwaji mkono mkubwa kiasi hicho ,balozi wa Israel katika umoja wa mataifa alifoka na kuushutumu umoja wa mataifa kuwa umekubali kuruhusu taifa la kigaidi kujiunga na umoja huo.
Huu mgogoro labda wangefufuka mababu zao 🤣🤣🤣
 
Wanajifanya kuichukia Marekani ila kila siku yamejazana ubalozini kuomba Visa
 
Uamuzi wa Hamas kulitetea taifa la Palestina unaendelea kuzaa matunda kwa mataifa mengi zaidi kuendelea kulitambua taifa hilo katika ngazi ya Umoja wa mataifa.

Katika kura zilizopigwa jana kwenye baraza kuu la UN jumla ya kura 143 ziliunga mkono,Tisa tu ndizo zilizokataa na 25 wakaamua kutopiga kura.

Baada ya hatua hiyo ambayo inaitambua Palestina kwa mipaka yake ya 1967 azimio hilo linatarajiwa kupelekwa kwenye baraza la usalama la jumuiya hiyo ambako nchi moja kati ya tano ikipiga kura ya veto basi azimio hilo halitopita. Nchi inayohofiwa zaidi na ambayo imeshafanya hivyo mara nyingi dhidi ya haki za Palestina ni Marekani pekee.

Baada ya azimio hilo kupata uungwaji mkono mkubwa kiasi hicho ,balozi wa Israel katika umoja wa mataifa alifoka na kuushutumu umoja wa mataifa kuwa umekubali kuruhusu taifa la kigaidi kujiunga na umoja huo.
Ni upuuzi wa Hali ya Juu 👇👇

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1789040227668906440?t=nNUrfHty0ax4Udcarupsfg&s=19
 
Ni upuuzi wa Hali ya Juu 👇👇
Pole,
Nchi zipatazo 14 zimeungana ili kuiondoa Israel kujiunga katika muungano wa Africa(A.U)

Nchi zilizokubali uamuzi wa kuiondoa Israel kwenye muungano huo ni; South Africa, Tunisia, Eritrea, Senegal, Tanzania, Niger, Archipelago ya Qamar, Gabon, Nigeria, Zimbabwe, Liberia pamoja na Seychelles.
 
Palestine wanastahili kuwa na taifa lao huru kama nchi
LAKINI kwanza ni lazima HAMAS watokomezwe
Hamas msimamo wao ni “from the lake to the sea” which means wanataka Israel yote iwe aridhi yao
Wanataka kurudisha ardhi yao iliyotekwa.Kuna ubaya gani?
 
Pole,
Nchi zipatazo 14 zimeungana ili kuiondoa Israel kujiunga katika muungano wa Africa(A.U)

Nchi zilizokubali uamuzi wa kuiondoa Israel kwenye muungano huo ni; South Africa, Tunisia, Eritrea, Senegal, Tanzania, Niger, Archipelago ya Qamar, Gabon, Nigeria, Zimbabwe, Liberia pamoja na Seychelles.
Mbona sijakuelewa? Embu dadavua mkuu wa kazi
 
Mbona sijakuelewa? Embu dadavua mkuu wa kazi
Ameishangaa TZ kuipigia kura Parestina UN,ndipo nilipomkumbusha kuwa SI mara ya kwanza TZ kufanya hivyo,Hata kuitoa Israel AU Tz ilishiriki.
 
Uamuzi wa Hamas kulitetea taifa la Palestina unaendelea kuzaa matunda kwa mataifa mengi zaidi kuendelea kulitambua taifa hilo katika ngazi ya Umoja wa mataifa.

Katika kura zilizopigwa jana kwenye baraza kuu la UN jumla ya kura 143 ziliunga mkono,Tisa tu ndizo zilizokataa na 25 wakaamua kutopiga kura.

Baada ya hatua hiyo ambayo inaitambua Palestina kwa mipaka yake ya 1967 azimio hilo linatarajiwa kupelekwa kwenye baraza la usalama la jumuiya hiyo ambako nchi moja kati ya tano ikipiga kura ya veto basi azimio hilo halitopita. Nchi inayohofiwa zaidi na ambayo imeshafanya hivyo mara nyingi dhidi ya haki za Palestina ni Marekani pekee.

Baada ya azimio hilo kupata uungwaji mkono mkubwa kiasi hicho ,balozi wa Israel katika umoja wa mataifa alifoka na kuushutumu umoja wa mataifa kuwa umekubali kuruhusu taifa la kigaidi kujiunga na umoja huo.
Japo UNGA wamepitisha ,US atapinga hili kwenye UNSC
 
Wanataka kurudisha ardhi yao iliyotekwa.Kuna ubaya gani?
Ubaya upo mkuu, we huoni kinachoendelea sasa?
Nahakika bila ya hamas pengine Taifa la Palestine lingekuwa limekwisha undwa tayari

Imefikia mahala sasa lazima wote wakubaliane na coexist ya amani...... ama wawe nchi moja au wagawane aridhi

Israel japo ni mzito lakini alikwisha onyesha nia toka mwanzo ya kugawana aridhi wapalestina wakakataa kabisa
Na walipoanza kuelekea kukubali wakaja Hamasi.... hawa hawataki kusikia hadithi yoyote zaidi ya from the river to the sea
 
Ubaya upo mkuu, we huoni kinachoendelea sasa?
Nahakika bila ya hamas pengine Taifa la Palestine lingekuwa limekwisha undwa tayari

Imefikia mahala sasa lazima wote wakubaliane na coexist ya amani...... ama wawe nchi moja au wagawane aridhi

Israel japo ni mzito lakini alikwisha onyesha nia toka mwanzo ya kugawana aridhi wapalestina wakakataa kabisa
Na walipoanza kuelekea kukubali wakaja Hamasi.... hawa hawataki kusikia hadithi yoyote zaidi ya from the river to the sea
Sio kweli.
 
Palestine wanastahili kuwa na taifa lao huru kama nchi
LAKINI kwanza ni lazima HAMAS watokomezwe
Hamas msimamo wao ni “from the lake to the sea” which means wanataka Israel yote iwe aridhi yao
Unachekesha kweli kati ya Israel na Palestine nani anataka ardhi ya mwenzake
 
Unachekesha kweli kati ya Israel na Palestine nani anataka ardhi ya mwenzake
Ni Israel ndio anakalia aridhi ya Palestine kwa mujibu wa mgao wa 1947
Na anaikalia kwasababu Palestine hataki mgao anataka aridhi yooooote iwe yake
Akiachiwa kidogo anaua watu na kuteka ndio maana Israel inaona ili kiwadhibiti ni kiwakalia kwenye aridhi yao
 
Haki itadhihiri tu.Hata maboer walisema hivyo hivyo South Africa.Itacheleweshwa lakini itapatikana.Dunia inaelekea kwenye mageuzi makubwa.
 
Back
Top Bottom