Azimio la kuitambua Palestina lapita UN kwa kura 143. Kikwazo bado ni Marekani tu

Azimio la kuitambua Palestina lapita UN kwa kura 143. Kikwazo bado ni Marekani tu

Kwa mtazamo wako
GJ8AsmFWsAESFev.jpg
 
Pole,
Nchi zipatazo 14 zimeungana ili kuiondoa Israel kujiunga katika muungano wa Africa(A.U)

Nchi zilizokubali uamuzi wa kuiondoa Israel kwenye muungano huo ni; South Africa, Tunisia, Eritrea, Senegal, Tanzania, Niger, Archipelago ya Qamar, Gabon, Nigeria, Zimbabwe, Liberia pamoja na Seychelles.
Kondoo wameungana kumuondoka chui kwenye kundi lao ...😂😂😂😂

like serious
 
Baada ya azimio hilo kupata uungwaji mkono mkubwa kiasi hicho ,balozi wa Israel katika umoja wa mataifa alifoka na kuushutumu umoja wa mataifa kuwa umekubali kuruhusu taifa la kigaidi kujiunga na umoja huo.
Huyu dingi hua nikiangalia anavoongea UN ni kama ana hasira za karibu sana. Always hua anaongea kama kifua kimejaa kwa hasira, sijui Israel walitumia vigezo gani kumuweka pale kuwa mwanadiplomasia. Bwana Gilad Erdan atakuwa mwepesi sana kurusha ngumi ukimbana na hoja.

US ni kikwazo sana kwa amani ya dunia. Ego yao ni mbaya sana, haijalishi kitu kina masrahi makubwa kiasi gani kwa ustawi wa ulimwengu, kama hawana masrahi nacho lazima wakikwamishe.
 
Mipaka ya linalopaswa kuwa taifa la Palestina iliwekwa lini na Hamas imeanzishwa lini?
Iliwekwa 1947 kama sijakosea
Palestine wakagoma wakataka aridhi yote iwe yao kwa kuungana na nchi za kiarabu na kuanzisha vita wakashindwa...... hapa ndipo sekeseke la kuporwa aridhi lilipoanzia

Baada ya hapo yakaanza majadiliano marefu chini ya chama cha Fatah
Balaa lilikuja baada ya Hamas kuwashinda Fatah pale Gaza kwenye uchaguzi wa 2006
Hamas hawataki mazungumzo badala yake wakaanza ugaidi dhidi ya Israel
Hii ikapelekea Israel kuzidi kuwabana na kuendelea kukalia maeneo yao ili kiwabana sehemu moja

Tofauti na Fatah ambao angalau walikua wanataka mapatano kwa mazungumzo... hamas wao ni wanataka waisrael waondoke na wao watawale israel yoote
 
Iliwekwa 1947 kama sijakosea
Palestine wakagoma wakataka aridhi yote iwe yao kwa kuungana na nchi za kiarabu na kuanzisha vita wakashindwa...... hapa ndipo sekeseke la kuporwa aridhi lilipoanzia

Baada ya hapo yakaanza majadiliano marefu chini ya chama cha Fatah
Balaa lilikuja baada ya Hamas kuwashinda Fatah pale Gaza kwenye uchaguzi wa 2006
Hamas hawataki mazungumzo badala yake wakaanza ugaidi dhidi ya Israel
Hii ikapelekea Israel kuzidi kuwabana na kuendelea kukalia maeneo yao ili kiwabana sehemu moja

Tofauti na Fatah ambao angalau walikua wanataka mapatano kwa mazungumzo... hamas wao ni wanataka waisrael waondoke na wao watawale israel yoote
Nenda rudia kusoma tena mwaka 1947 kulikuwa na vita?Ilikuwa vita kati ya mataifa gani?Waliopora ardhi ni taifa gani?Wacha kusikiliza porojo za kwenye vigenge.Soma historia bila kuonyesha maslahi utapata ukweli.
 
Nenda rudia kusoma tena mwaka 1947 kulikuwa na vita?Ilikuwa vita kati ya mataifa gani?Waliopora ardhi ni taifa gani?Wacha kusikiliza porojo za kwenye vigenge.Soma historia bila kuonyesha maslahi utapata ukweli.
Ingekua ni vyema kama ungesoma kwanza bandiko nililoli quote ili kujua nilikua najibu nini mkuu
 
Ingekua ni vyema kama ungesoma kwanza bandiko nililoli quote ili kujua nilikua najibu nini mkuu
Majibu yako yana makosa ya wazi. Rudia kusoma hiyo historia ili uweze kuwa katika wakati mzuri wa kujibu bila kuongezea mawazo yako .
 
Iliwekwa 1947 kama sijakosea
Palestine wakagoma wakataka aridhi yote iwe yao kwa kuungana na nchi za kiarabu na kuanzisha vita wakashindwa...... hapa ndipo sekeseke la kuporwa aridhi lilipoanzia

Baada ya hapo yakaanza majadiliano marefu chini ya chama cha Fatah
Balaa lilikuja baada ya Hamas kuwashinda Fatah pale Gaza kwenye uchaguzi wa 2006
Hamas hawataki mazungumzo badala yake wakaanza ugaidi dhidi ya Israel
Hii ikapelekea Israel kuzidi kuwabana na kuendelea kukalia maeneo yao ili kiwabana sehemu moja

Tofauti na Fatah ambao angalau walikua wanataka mapatano kwa mazungumzo... hamas wao ni wanataka waisrael waondoke na wao watawale israel yoote
Mkuu historia yako ni ya kuunga unga na inaegemea upande unao upenda. Ila sio kesi nachotaka kujua ni vipi West Bank waliko Fatah kwanini nako bado panakaliwa kibabe kwa kujengwa settlements za wayahudi pamoja na kwamba Fatah sio magaidi na wanatumia njia za kidplomasia kudai ardhi yao? Ni njia ipi sahihi kwa Palestinians kudai ardhi yao ikiwa sio Gaza kwa Hamas wanaotumia nguvu kudai ardhi yao wala West Bank kwa Fatah wanaotumia diplomasia ambao wamepata ardhi yao kwa mujibu wa mipaka ya 1947
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mkuu historia yako ni ya kuunga unga na inaegemea upande unao upenda. Ila sio kesi nachotaka kujua ni vipi West Bank waliko Fatah kwanini nako bado panakaliwa kibabe kwa kujengwa settlements za wayahudi pamoja na kwamba Fatah sio magaidi na wanatumia njia za kidplomasia kudai ardhi yao? Ni njia ipi sahihi kwa Palestinians kudai ardhi yao ikiwa sio Gaza kwa Hamas wanaotumia nguvu kudai ardhi yao wala West Bank kwa Fatah wanaotumia diplomasia ambao wamepata ardhi yao kwa mujibu wa mipaka ya 1947
Mkuu mimi binafsi naamini Palestine wana madai ya msingi
Naamini pia Wapalestina ndio wanao nyanyasika zaidi kwenye huu mgogoro
Nasimama na Wapalestina kudai haki yao

Kuna msemo unasema anayeshinda vita ndiye atakaye andika historia na kujipa credit
Kwa sehemu kubwa haya yote ni matokeo ya Palestina kushindwa vita ya 1948

Natatizika na approach ya HAMAS
Kwanza kabisa Hamas ailiposhinda tu uchaguzi gaza akaanza mtifuano na Fatah, hapo ni wapalestina kwa wapalestina wanatifuana, kwenye mazingira haya mtapataje suluhu ya pamoja iwapo wenyewe kwa wenyewe hampatani jinsi ya ku approach mnachodai?
 
Back
Top Bottom