Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
- #81
Inatakiwa Ufanye toba itakayokwenda sambamba na kutorudia kosa hilo.Kma ulizini moto unakusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatakiwa Ufanye toba itakayokwenda sambamba na kutorudia kosa hilo.Kma ulizini moto unakusubiri
hadi sasa sijapata hata UTI na raha nilipata punguza ushaur tuna mipango yetu mjini hapaAziniye na mwanamke hana akili kabisa....
Acha uzinzi kijana
Thanks my brother.. kuna muda najiuliza hivi hawa wakoloni/missionary ndo wametukamata kiasi hiki .. na jamaa amendika yuko serious kabisa dah..Hivi ni kwanini mnaandikaga ujinga huu?
Dini ndio zinafundisha huu upuuzi?
Kwa mwanamke utajiangamiza kwa factor zifuatazo,
1)Utaanza kuhudumia kwa kutoa pesa hivyo kufilisika.
2)Utakuwa bize na mahusiano na hivyo kupoteza muda mwingi wa kufocus na kufanya kazi.
3)Unaweza kuambukizwa magonjwa, kumaliza pesa kujitibia, au ukapata magonjwa yasiyotibika na hivyo kufa mapema.
Enyi waafrika wenzangu kizazi cha nyoka, hivi ni nani aliewaroga?
Kwa nini mnaamini vitu vya kipuuzi namna hiyo?
Vitu vinavyosababisha tuwe watu wa hovyo kabisa ni kuamini vitu visivyokuwepo.Thanks my brother.. kuna muda najiuliza hivi hawa wakoloni/missionary ndo wametukamata kiasi hiki .. na jamaa amendika yuko serious kabisa dah..
😂😂Mimi mwenyewe kubwa la manuksi,hata nikichovya penye baraka nuksi zangu ni dominant,kazi endelee
Sasa tuzini na mbwaa?Aziniye na mwanamke Hana akili kabisa.