raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Au watu wazaliwe na mijusi ili waishi mileleSijui wanataka tugonge nguruwe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au watu wazaliwe na mijusi ili waishi mileleSijui wanataka tugonge nguruwe!!
Ulaya ya kinole weweUlaya umefika lini mjomba? Au unamaanisha ulaya ya ifakara
Umeandika nini sasaHivi ni kwanini mnaandikaga ujinga huu?
Dini ndio zinafundisha huu upuuzi?
Kwa mwanamke utajiangamiza kwa factor zifuatazo,
1)Utaanza kuhudumia kwa kutoa pesa hivyo kufilisika.
2)Utakuwa bize na mahusiano na hivyo kupoteza muda mwingi wa kufocus na kufanya kazi.
3)Unaweza kuambukizwa magonjwa, kumaliza pesa kujitibia, au ukapata magonjwa yasiyotibika na hivyo kufa mapema.
Enyi waafrika wenzangu kizazi cha nyoka, hivi ni nani aliewaroga?
Kwa nini mnaamini vitu vya kipuuzi namna hiyo?
Hujui kusoma?Umeandika nini sasa
Kwako ujinga ni nini ndugu?Hivi ni kwanini mnaandikaga ujinga huu?
Ulaya ipi?Hii ina apply tz tuu...ukienda ulaya hukuti hii kitu.
Hakuna jipya chini ya jua, hao unaowasifia hawajaleta lolote jipyaBila wao hii dunia isingekuwa jinsi ilivyo.
Hana hata kidogoAziniye na mwanamke Hana akili kabisa.
Ukisoma kwa kutulia utaelewa nilichoeleza...Nikajua ni wanaume tu ndo wanaamini kwamba wanawake wana mikosi kumbe hadi nyie wenyewe mnaamini?
Kwa mantiki yako hakuna ndoa ingewahi kuvunjika ndoa, ukioa mambo yako yote yanaenda sawa sio?
Nilishawazoea waafrica kitu obvious bado mnaleta siasa kama yale ya sanamu kule kwa wanyamwezi.Hakuna jipya chini ya jua, hao unaowasifia hawajaleta lolote jipya
Huyo p diddy ndiye yule aliyeko kizuizini huko USA au ni p diddy mwingine?P didy kazini na kila mwanamke maarufu unaemjua,
Hunielewi ninaposema hakuna jipya duniani, kaa kwa kutuliaNilishawazoea waafrica kitu obvious bado mnaleta siasa kama yale ya sanamu kule kwa wanyamwezi.
Tukubali tumezidiwa ata huko mbinguni malaika wamezidiana sembese duniani.
Naona mmeuchangamkia mfano wa P Didy.Huyo p diddy ndiye yule aliyeko kizuizini huko USA au ni p diddy mwingine?
Kama ndiye hebu ona aibu wewe kwa kumtetea bilionea aliye kizuizini kwa sababu ya uzinzi.
Wee ndio umechanganya mambo....mie nilishatulia long timeHunielewi ninaposema hakuna jipya duniani, kaa kwa kutulia
Nilikuwaga nakueshimuu. We ndo wa kutumia reference ya WATU wanao ongozwa na MASHETANI kusema matajili wote wanafanya umalaya.........SIOKWELIII task fatilia maisha ya matajili WAKUBWA kama DANGOTE ,MO BAKRESA na matajili top 12 Africa kama utakuta mtu ana maisha kama ya p Diddy hata mmoja........Mtoa mada ana zile imani za kishamba kabisa zilizopitwa na wakati.
Hawa ni watu ambao, chanzo cha maarifa yao ni kanisani ama msikitini tu.
Hawatafuti maarifa nje ya hapo.
Wanacholishwa na wachungaji au mashehe ndio wanameza hicho hicho, na mara nyingi wanalishwa matango pori.
P didy kazini na kila mwanamke maarufu unaemjua, net worthy yake ni 1 bilion USD.
Hizo ni takribani trillioni tatu za kitanzania.
Ukikuta mwanaume mwenye hela hafanyi ngono na watu mbalimbali huyo atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume.
Matajiri wanafanya umalaya wa ajabu, na hawajawahi kupata hiyo mikosi anayoisema mtoa mada.
Mimi mtu anayeamini kwamba kuna mashetani sitaki hata aniheshimu.Nilikuwaga nakueshimuu. We ndo wa kutumia reference ya WATU wanao ongozwa na MASHETANI kusema matajili wote wanafanya umalaya.........SIOKWELIII task fatilia maisha ya matajili WAKUBWA kama DANGOTE ,MO BAKRESA na matajili top 12 Africa kama utakuta mtu ana maisha kama ya p Diddy hata mmoja........
Umeeleweka mkuuKwa wale ambao hamjaoa tumieni akili zenu vizuri kwa kujiepusha na uzinzi, oeni mtulie na wake zenu
Umepewa mke mwema halafu hutulii kwa mkeo, kila siku unahangaika na wanawake ambao hawakuandaliwa na Mungu kwa ajili yako. Kwa nini kujiangamiza?