Aziniye na mwanamke hujiangamiza mwenyewe

Aziniye na mwanamke hujiangamiza mwenyewe

Hivi ni kwanini mnaandikaga ujinga huu?

Dini ndio zinafundisha huu upuuzi?

Kwa mwanamke utajiangamiza kwa factor zifuatazo,

1)Utaanza kuhudumia kwa kutoa pesa hivyo kufilisika.
2)Utakuwa bize na mahusiano na hivyo kupoteza muda mwingi wa kufocus na kufanya kazi.
3)Unaweza kuambukizwa magonjwa, kumaliza pesa kujitibia, au ukapata magonjwa yasiyotibika na hivyo kufa mapema.

Enyi waafrika wenzangu kizazi cha nyoka, hivi ni nani aliewaroga?

Kwa nini mnaamini vitu vya kipuuzi namna hiyo?
Umeandika nini sasa
 
Nilishawazoea waafrica kitu obvious bado mnaleta siasa kama yale ya sanamu kule kwa wanyamwezi.
Tukubali tumezidiwa ata huko mbinguni malaika wamezidiana sembese duniani.
Hunielewi ninaposema hakuna jipya duniani, kaa kwa kutulia
 
Huyo p diddy ndiye yule aliyeko kizuizini huko USA au ni p diddy mwingine?

Kama ndiye hebu ona aibu wewe kwa kumtetea bilionea aliye kizuizini kwa sababu ya uzinzi.
Naona mmeuchangamkia mfano wa P Didy.

Hii inaonyesha huelewi hata msingi wa hoja yako umeujenga katika muktadha gani.

Kujadiliana na mtu anayeamini katika miujiza ni jambo gumu.

Endeleeni kuamini hayo mambo yenu bhana msinichoshe bure.
 
Mtoa mada ana zile imani za kishamba kabisa zilizopitwa na wakati.

Hawa ni watu ambao, chanzo cha maarifa yao ni kanisani ama msikitini tu.

Hawatafuti maarifa nje ya hapo.

Wanacholishwa na wachungaji au mashehe ndio wanameza hicho hicho, na mara nyingi wanalishwa matango pori.

P didy kazini na kila mwanamke maarufu unaemjua, net worthy yake ni 1 bilion USD.


Hizo ni takribani trillioni tatu za kitanzania.

Ukikuta mwanaume mwenye hela hafanyi ngono na watu mbalimbali huyo atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume.

Matajiri wanafanya umalaya wa ajabu, na hawajawahi kupata hiyo mikosi anayoisema mtoa mada.
Nilikuwaga nakueshimuu. We ndo wa kutumia reference ya WATU wanao ongozwa na MASHETANI kusema matajili wote wanafanya umalaya.........SIOKWELIII task fatilia maisha ya matajili WAKUBWA kama DANGOTE ,MO BAKRESA na matajili top 12 Africa kama utakuta mtu ana maisha kama ya p Diddy hata mmoja........
 
Nilikuwaga nakueshimuu. We ndo wa kutumia reference ya WATU wanao ongozwa na MASHETANI kusema matajili wote wanafanya umalaya.........SIOKWELIII task fatilia maisha ya matajili WAKUBWA kama DANGOTE ,MO BAKRESA na matajili top 12 Africa kama utakuta mtu ana maisha kama ya p Diddy hata mmoja........
Mimi mtu anayeamini kwamba kuna mashetani sitaki hata aniheshimu.
 
Umepewa mke mwema halafu hutulii kwa mkeo, kila siku unahangaika na wanawake ambao hawakuandaliwa na Mungu kwa ajili yako. Kwa nini kujiangamiza?

Sio kila mtu aliyeoa kapewa mke na Bwana, isipokuwa mtu hupewa mke mwema na Bwana (shika neno mwema)...

Kuna watu ambao wamepewa mke na upande wa pili (shika hii najua hukuwa wajua)
 
Back
Top Bottom