Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
😂😂😂Na hiyo kambi ya hapa hapa nchini watashindia sana uji🤣🤣
unajifariji bure uto mnyongeSasa kuna shida gani? Hela unatoa wewe kwani? Tuende nje tusiende wewe haikuhusu...
All in All Yanga bingwa tena 2022/2023 (X29)
sawaunajifariji bure uto mnyonge
🤣😅 mchezaji kagoma kukopwapesa yote ya nbc pl champion kala aziz key
Tumie zile bil 3 mnazopata kutoka azam media kama kweli zipo
Utooooooooo kwi kwi
Na asipopafomu vizuri sijui itakuwaje?😳😳Na amegoma kukaa kule kigamboni kwenye hostel kama za chekechekea yaani kifupi aziz ki kwa mwezi atatumia kama mil 35 walijua wanaikomoa simba kumbe wanajimaliza wenyewe.
Simba mnapata shida sanaTambo za mashabiki zinatia raha sana[emoji1787]
Mbumbumbu nchi hii ni wengi sana..Kutoka Yanga hawawezi kumsajili huyo bwana mdogo, hadi sasa Yanga hawawezi kuweka kambi Uturuki...
We yaache tu mkuu.Simba mnapata shida sana