Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

Kwani magodoro hayauziki tena? Utajiri wa magodoro una masharti sana
Magodoro biashara ya msimu

Ukinunua leo ni mpaka miaka kumi ipite

Mbali na hiyo magodoro ya GSM ni msala bora mkeka mara 100

Naskia jela wanatumia hayo kuwapa wafungwa walalie kwa lengo la kuwatesa zaidi
 
Shida ipo huoni hapo kuna economic depression?

Hersi alikuwa ana bargain na Aziz Ki kwa mahesabu ya kwamba ndani ya mwaka GSM atakuwa amedunduliza kwa kuuza uza vigodoro

White juzi tu hapo katoka kuikandia Simba kwa preseason yao ya Misri kwasababu mwaka jana waliahidi kufanyia US

White hakujua kwamba Azizi kapita na fuko lote la pesa na ishu ya uturuki imeyeyuka. He didn't see it coming
Niletee hapa ushahidi Yanga walisema wanaenda Turkey nakupa laki moja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Oooh Yanga hawawezi msajili Azizi , ....

Sasa wamemsajili ......

Mmehamia Yanga hawawezi kwenda Uturuki ...

Daah kwel kolokoloni kazi mnayo aisee
Kwa hiyo mnafanya kila kitu ili kutuziba midomk

Haya sasa Ooh Yanga hawawezi kwenda uturuki

Vipi mmeenda?
 
Na wala timu haijawahi kueleza kambi yake itaweka sehemu flani,hizo taarifa za Yanga kuweka kambi Turkey umezitoa wapi?
 
Kwa hiyo mnafanya kila kitu ili kutuziba midomk

Haya sasa Ooh Yanga hawawezi kwenda uturuki

Vipi mmeenda?
Taarifa za Yanga kuweka kambi uturuki umezitoa wapi?

Kama klabu haijawahi kueleza jambo hilo,ni either ndani ya nchi au nje ya nchi kwa matakwa ya Mwalimu na sehemu yenyewe haijawahi kuwekwa bayana
 
Kutoka huku
"Mayele ni cha mtoto kwa kagere"
"Takwimu za kibu dhidi ya mayele zinatia uchungu"

"Yanga inaanzaga hivi hivi mwisho ubingwa wetu sisi"

"Mzunguko wa pili yanga inakata moto"

"Yanga huwa inakata moto kipindi cha pili"

"Niko pamoja na mpole"

"Sopu ni hatari sana tumchangie pesa"

Na sasa mmefika huku tayari uzuri tunajua namna mnavyopata machungu kumbukeni ngao ya jamii sio mbali
 
Taarifa za Yanga kuweka kambi uturuki umezitoa wapi?

Kama klabu haijawahi kueleza jambo hilo,ni either ndani ya nchi au nje ya nchi kwa matakwa ya Mwalimu na sehemu yenyewe haijawahi kuwekwa bayana
Kila kitu kipo open Rasta

Mlitaka mfanye kama suprise lakini haijawajia vizuri, sasa kama hizi allegations ni za uongo basi mkawashtaki ENDA TOUR
 
Wenyewe wanamuita AZIZI FUNGUO.
na atawafungua kweli mpaka mkome.
mtu mwenyewe mmemuona tu kwenye mechi na Simba mmepagawa
 
Jitahidini msijidhihirishe level yenu ya umbumbumbu kuwa ni mkubwa sana

Payo payo kutoka kwenu zimekuwa nyingi kuliko kuijenga timu yenu ili msimu ujao ioneshe ushindani kwa kuanzia kwenye ligi ya ndani coz mtajikuta mnacheza play off au mkijitahidi sana mtagombea nafasi ya 3 kwenye ligi
 
Sema utopolo akili hawana.
Yaani pesa yote ya ubingwa mnakwenda kumgharamikia mchezaji mmoja
 
Na amegoma kukaa kule kigamboni kwenye hostel kama za chekechekea yaani kifupi aziz ki kwa mwezi atatumia kama mil 35 walijua wanaikomoa simba kumbe wanajimaliza wenyewe.
Ni kweli kagoma, mwanzo sikuamini, ila nimepata uhakika kagoma kuishi Avic Town, anataka atokee nyumbani, ila huyu naweza sema huyu ujanja kamfunza Yaoukuba tyuuh. Lol.
 
Na asipopafomu vizuri sijui itakuwaje?[emoji15][emoji15]
Jamaa anavuta mpunga mrefu kama anacheza ulaya ila manara na hersi pamoja na senzo wameingiza mashabiki cha kike enzi za kushindia mihogo zinarudi wakulima wa morogoro inabidi waanze kuweka fensi kwenye miwa yao [emoji23]
 
Back
Top Bottom