Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Hbr za kwenda pre season USA kama mtu wa mpira utakuwa unakumbuka Kanjibhai MO alivyotoa hiyo taarifaNenda kwenye page ya Takadini, katazame, km kafuta bas, ila alitutambia wazi wazi. Hatusahau kabisaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aziz Ki kawakomeshaaaaa, ulimbukeni wote fyaaaah
Punguza level ya umbumbumbu wako,pia jifunze kuongea jambo kwa fact na source zake
NB:Ukireply comments zangu huwa sipendi kukujibu,kwasababu nikiona reply yako huwa nahisi harufu ya kinyesi,nadhani unajielewa mwenyewe