Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

Kambini nasikia wanarogana sana kule wakiongozwa na mwaisa yaani ukiacha kitu au soksi katika hostel za yanga umekwisha japo mwaisa kaondoka ila ujuzi kaacha kwa vijana unaona yule mapinduzi anaondoka yanga kacheza mechi mbili ikiwemo ile aliyoifunga simba baada ya hapo wakampiga misumari hajawahi kuwa fit mpaka kaondoka wamemfanyi ukatili sana sasa hzo taarifa zote amepewa aziz ki awe makini asije akawa yikpe mpya [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basis hatareee tupu lol.
 
Ukubwa wa team hauji au haupimwi kwa league ya ndani hii mnayoahidi million 10 kila mkoa kwa team inayoifunga simba hata real Madrid ni club kubwa na yenye thamani duniani sio kwa kuchukua laliga title ila ni kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE sasa wewe hata uchukue league miaka mitano kama kimataifa hufanyi vizuri mtaishia kwenda manungwi tu kula miwa yaani usajili mchezaji million 400 aje acheze kaitaba stadium na kagera wakati kimataifa mnawahi kutoka hzo hesabu za wapi utopolo mwaka wenu huu kwa usajili mliofanya msipofika fainali CAF champion's league mtafika mwaka gani unbeaten yanga daima mbele nyuma mwiko.
View attachment 2292768
Aya timu kubwa hupimwa kwa kuchukua Champions league Mara nyingi zaidi.........Tuje kwa timu yako ya Simba ina makombe mangapi ya Caf Champions League?

Ili tujue ukubwa wako upo wapi?
 
Mbona unajitoa ufahamu aziz ki alipangwa atambulishwe ile siku mliyopost mafunguo kutoka kwenye nyimbo ya dj Khalid sasa bwana aligoma ku sign kwasababu kuna vitu havikuwa sawa ikabidi mumtambulishe usiku sio kwamba mlipenda ila baadhi ya terms za mkataba wake zilikuwa hazijakamilika unadhani yule ni kama ambundo akipewa mkataba anaangalia kwenye salary tu anadondoka mkuu mnaenda lini morogoro maana nipo gairo hapa nataka nijue nini cha kuongezea kilichopungua huko kambini utani sio uadui.
Upunguani ni kipaji mwenzetu ume barikiwa , kwamba mchezaji asafiri toka huko aje kuanza ku bargain malipo wazazi wako wana hasara sana kufuga lifara miaka yote hio

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Punguzeni Payo Payo wanasimba,nendeni mkajadili mambo ya msingi kwenye klabu yenu

Hii Yanga mnayo ijadili Leo hii,msimu msimu ulioisha imemaliza mashindano ya ndani bila kufungwa mechi hata moja na kuchukua makombe yote ya ndani

Fikiria na hizi addition mpya hiyo Yanga itakuwa ya moto sana na wala sio ya kukaa nayo karibu hata kidogo

Hugo azam,usajili aliofanya ndio balaa zaidi,kwahyo msipo angalia vzr msimu ujao mtacheza play off kabisa kama sio kushuka daraja coz kwasasa hatutafanya jitahidi zozote za kuwafanya msishuke daraja

Na huko kimataifa ndo hamtafika popote kwa kikosi cha wavunja kuni mlicho nacho kwasasa na aliyekuwa amewasaidia kwenye mechi za kimataifa mwaka Jana amerudi Yanga.

MNA matatizo kibao kwenye timu ya kuyamaliza mapema sana kabla ligi haijaanza coz hatutaki kusikia malalamiko ya bahasha za GSM

Nawakumbusha tena mwaka jana mlifanya mlikuwa na pre season bora sana ya siku 45 na Yanga walikuwa na pre season mbaya sana ya Sikh 7 na kurudi Tanzania ila kilichotokea kwenye ligi mpk sasa ni historia imebaki
Wee mbna umekua mpoleee ghaflaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Furaha imezimwa?? Kasaidie kutengeneza juice ya miwa huko Bigwa.
 
Wakati mnasema kuwa KI alihitajiwa na Simba Sc, mlileta reliable source? Au reliable source zinatakiwa zitolewe kwenye maswala yanayoihusu Yanga tu?
Tulileta barua kutoka Simba waliyomtumia offer ya kumsajili Ki Aziz ikiwa na signing fee na mshahara walikuwa wamepanga kumpa
 
Hbr za kwenda pre season USA kama mtu wa mpira utakuwa unakumbuka Kanjibhai MO alivyotoa hiyo taarifa

Punguza level ya umbumbumbu wako,pia jifunze kuongea jambo kwa fact na source zake

NB:Ukireply comments zangu huwa sipendi kukujibu,kwasababu nikiona reply yako huwa nahisi harufu ya kinyesi,nadhani unajielewa mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe umeishiwaa eeeh?? Unajifanya mjanjaa, ukiguswa kidogo unakua mpoleeee, badooo mbna ntakunyooshaa.

Yakizidi sana muone Daktar, kunywa maji mengi afu relaaax.

Byuti byuti. Weuweeeeeeee
 
Punguzeni Payo Payo wanasimba,nendeni mkajadili mambo ya msingi kwenye klabu yenu

Hii Yanga mnayo ijadili Leo hii,msimu msimu ulioisha imemaliza mashindano ya ndani bila kufungwa mechi hata moja na kuchukua makombe yote ya ndani

Fikiria na hizi addition mpya hiyo Yanga itakuwa ya moto sana na wala sio ya kukaa nayo karibu hata kidogo

Hugo azam,usajili aliofanya ndio balaa zaidi,kwahyo msipo angalia vzr msimu ujao mtacheza play off kabisa kama sio kushuka daraja coz kwasasa hatutafanya jitahidi zozote za kuwafanya msishuke daraja

Na huko kimataifa ndo hamtafika popote kwa kikosi cha wavunja kuni mlicho nacho kwasasa na aliyekuwa amewasaidia kwenye mechi za kimataifa mwaka Jana amerudi Yanga.

MNA matatizo kibao kwenye timu ya kuyamaliza mapema sana kabla ligi haijaanza coz hatutaki kusikia malalamiko ya bahasha za GSM

Nawakumbusha tena mwaka jana mlifanya mlikuwa na pre season bora sana ya siku 45 na Yanga walikuwa na pre season mbaya sana ya Sikh 7 na kurudi Tanzania ila kilichotokea kwenye ligi mpk sasa ni historia imebaki
Wewe waache tu jana VAR imetestiwa mwaka huu hakuna zile mambo zao za penalties za ujanja ujanja na magoli ya offside, hawa mabingwa wastaafu wanahudhunisha sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wee mbna umekua mpoleee ghaflaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Furaha imezimwa?? Kasaidie kutengeneza juice ya miwa huko Bigwa.
Aya sawa ila kumbuka huwa nikiona reply yako kwenye comments zangu,nahisi harufu ya kinyesi kutoka kwako

Na nilishakueleza tangu muda mrefu humu jukwaani huwa sitaki kuwa na engagement na machoko
 
Umeamia kwenye timu yetu tena na sio kusisitiza kuhusau source?

Kwa maana hiyo umekubali kuwa source ni trustable?
Achana name huyo, kasha changanyikiwa hana Pa kushika.
Anabaki kuugulia ndani kwa ndani, Aziz kaamua kuwavua nguo.
Wauza magodoro fake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upunguani ni kipaji mwenzetu ume barikiwa , kwamba mchezaji asafiri toka huko aje kuanza ku bargain malipo wazazi wako wana hasara sana kufuga lifara miaka yote hio

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Si bora mimi punguani lakini silipwi nyinyi mnamlipa mshahara mmempa na gari kwa kazi ya upunguani yule nguruwe pori kwa umri wake na mambo anayofanya haviendani yule aliyewaambia mnaanzia hatua ya mtoano CAF champion's league wakati mna 0.5 mapunguani wengine wapo airport pale ngoja CAF champion's league ianze utawaona wanaenda kuwapokea wageni wala hawawajui hata kidogo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe umeishiwaa eeeh?? Unajifanya mjanjaa, ukiguswa kidogo unakua mpoleeee, badooo mbna ntakunyooshaa.

Yakizidi sana muone Daktar, kunywa maji mengi afu relaaax.

Byuti byuti. Weuweeeeeeee
Aya sawa
 
Ulipewa official statement na kiongozi gani kwamba wanaenda uturuki? Unaweza ukawa mwanaume kumbe unazo homone za kike na mambo yako yanakuwa ya kikekike tu, Maumivu mnayopitia ni makubwa sana tunajua na mtaokoteza vimaneno vya kuwafariji mpaka mtanyoosha maelezo, kila timu inayo mipango yake, wewe shabiki wa kolokoloni uwezi kuipangia yanga cha kufanya, kazi yako itabaki kuwa mpiga ramli Kama mganga wa kienyeji kwakuwa bwana rage alishawalaani aliona vichwa vyenu ni empty,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unalia nn?? Hebu relaaaaaaaaax.
Vipi moro mnaenda na Abood au BM coach?

Hahaha
 
Ukubwa wa team hauji au haupimwi kwa league ya ndani hii mnayoahidi million 10 kila mkoa kwa team inayoifunga simba hata real Madrid ni club kubwa na yenye thamani duniani sio kwa kuchukua laliga title ila ni kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE sasa wewe hata uchukue league miaka mitano kama kimataifa hufanyi vizuri mtaishia kwenda manungwi tu kula miwa yaani usajili mchezaji million 400 aje acheze kaitaba stadium na kagera wakati kimataifa mnawahi kutoka hzo hesabu za wapi utopolo mwaka wenu huu kwa usajili mliofanya msipofika fainali CAF champion's league mtafika mwaka gani unbeaten yanga daima mbele nyuma mwiko.
View attachment 2292768
Huko champions League una kombe gani ili tuone huo ukubwa wako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Aya timu kubwa hupimwa kwa kuchukua Champions league Mara nyingi zaidi.........Tuje kwa timu yako ya Simba ina makombe mangapi ya Caf Champions League?

Ili tujue ukubwa wako upo wapi?
Ok mada nzuri huko hatujafika kwa vilabu vya Tanzania ila club inayofanya vizuri au yenye record CAF champion's league sio tu Tanzania afrika mashariki kwa ujumla simba ndio kinara kwani hata kuanza haanzi hatua moja na utopolo tumechelewa ila tutafika Tanzania inatoa team nne kwasababu ya simba hata thamani yao imepanda kama yanga akiwahi kuchukua CAF champion's league kabla ya simba basi pia itakuwa kheri ila ukubwa wa team unapimwa kwa kiwango hcho sawa 0.5 radius pambaneni mtafika level za simba sio lazima mkubali ila takwimu zinaongea.
 
Aya sawa ila kumbuka huwa nikiona reply yako kwenye comments zangu,nahisi harufu ya kinyesi kutoka kwako

Na nilishakueleza tangu muda mrefu humu jukwaani huwa sitaki kuwa na engagement na machoko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko pale kambini anasambaza upendo kwa wana, tena akaona haitoshi akaamua aweke video public watu tusuuze macho, na tujue ya kambini.

Msalimie shost ako kabwiliiiii, hahahahah

Ukinuna nakunyoosha vingine. Uwiiiiiiiih
 
Huko champions League una kombe gani ili tuone huo ukubwa wako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuto anza hatua moja na utopolo na kuiwezesha Tanzania kutoa team nne hilo ni kombe pia mdogo mdogo tutafika nyinyi mlishiriko miaka minne mpaka leo mnazidiwa na namungo fc na biashara kimataifa kufanya vizuri kimataifa sio lazima uchukue kombe Tanzania hatujafika level hzo siku tukifika basi tutajipima kwa mataji sasa hivi tuna jipima kwa achievement.
 
Back
Top Bottom