cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basis hatareee tupu lol.Kambini nasikia wanarogana sana kule wakiongozwa na mwaisa yaani ukiacha kitu au soksi katika hostel za yanga umekwisha japo mwaisa kaondoka ila ujuzi kaacha kwa vijana unaona yule mapinduzi anaondoka yanga kacheza mechi mbili ikiwemo ile aliyoifunga simba baada ya hapo wakampiga misumari hajawahi kuwa fit mpaka kaondoka wamemfanyi ukatili sana sasa hzo taarifa zote amepewa aziz ki awe makini asije akawa yikpe mpya [emoji23][emoji23]