Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

Aziz Ki akwamisha pre-season ya Yanga Uturuki

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko pale kambini anasambaza upendo kwa wana, tena akaona haitoshi akaamua aweke video public watu tusuuze macho, na tujue ya kambini.

Msalimie shost ako kabwiliiiii, hahahahah

Ukinuna nakunyoosha vingine. Uwiiiiiiiih
Narudia tena Engagement na Machoko sihitaji

Mm Nina argue na Wanaume wenzangu rijali ila sio ww mtoto mchele×2
 
Ok mada nzuri huko hatujafika kwa vilabu vya Tanzania ila club inayofanya vizuri au yenye record CAF champion's league sio tu Tanzania afrika mashariki kwa ujumla simba ndio kinara kwani hata kuanza haanzi hatua moja na utopolo tumechelewa ila tutafika Tanzania inatoa team nne kwasababu ya simba hata thamani yao imepanda kama yanga akiwahi kuchukua CAF champion's league kabla ya simba basi pia itakuwa kheri ila ukubwa wa team unapimwa kwa kiwango hcho sawa 0.5 radius pambaneni mtafika level za simba sio lazima mkubali ila takwimu zinaongea.
Wamepitwa hadi na Namungo FC, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Badala wajipange, wao kutwaa kuwazia mbeya city na mtibwa.

Utopiswee km Utopwisee.
 
Si bora mimi punguani lakini silipwi nyinyi mnamlipa mshahara mmempa na gari kwa kazi ya upunguani yule nguruwe pori kwa umri wake na mambo anayofanya haviendani yule aliyewaambia mnaanzia hatua ya mtoano CAF champion's league wakati mna 0.5 mapunguani wengine wapo airport pale ngoja CAF champion's league ianze utawaona wanaenda kuwapokea wageni wala hawawajui hata kidogo.
Na wewe unataka upewe gari? [emoji22][emoji22]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ok mada nzuri huko hatujafika kwa vilabu vya Tanzania ila club inayofanya vizuri au yenye record CAF champion's league sio tu Tanzania afrika mashariki kwa ujumla simba ndio kinara kwani hata kuanza haanzi hatua moja na utopolo tumechelewa ila tutafika Tanzania inatoa team nne kwasababu ya simba hata thamani yao imepanda kama yanga akiwahi kuchukua CAF champion's league kabla ya simba basi pia itakuwa kheri ila ukubwa wa team unapimwa kwa kiwango hcho sawa 0.5 radius pambaneni mtafika level za simba sio lazima mkubali ila takwimu zinaongea.
Kufanya vizuri ni kuchukua kombe nothing else Pisto amefukuzwa Al Ahl na kafika final nyinyi wenyewewe mmemfukuza Kaka yake Zidane kwa kushindwa kuchukua makombe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena Engagement na Machoko sihitaji

Mm Nina argue na Wanaume wenzangu rijali ila sio ww mtoto mchele×2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata ku argue unajua wee?? Wallah km issue ya badiliko la pre season umechanganyikiwa hivi, je mwakani kukosa vikombe? Mtalia wazi wazi na ndo tabia zenu hamjuagi kujikaza, mnamwaga tyuuh chozi, "yoyo maamaa tunaonewaa, TFF ni simba"

Byuti byuti.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata ku argue unajua wee?? Wallah km issue ya badiliko la pre season umechanganyikiwa hivi, je mwakani kukosa vikombe? Mtalia wazi wazi na ndo tabia zenu hamjuagi kujikaza, mnamwaga tyuuh chozi, "yoyo maamaa tunaonewaa, TFF ni simba"

Byuti byuti.
Sawa Mama
 
Nmekwambia leta hapa reliable source kwamba team itaenda Turkey , punguza kukaa salon za kike na dada zako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona umeandika kishangingi Rasta?

Huko juu nimetoka kuweka link ya mahojiano kati ya presenter wa global na Agent Enda tour akilalamikia hilo swala, ilikuwa ni swala la wewe kumakinika na kutembelea hiyo link
 
Sidhani kama kwenda huko Uturuki Kama ni kipaumbele cha Yanga, kipaumbe ni kujenga kikosi kilicho bora ili yanga iendelee kubeba vikombe ,Kama inauma chomoaaaa
Kipaumbele kime cha ge baada ya mfuko kuchanika

Usiwaone NENDA TOUR wajinga, wala kuiona taasisi kubwa ya Yanga inakubali kuchafuliwa kwa madai ya uwongo ukadhani ni uzalendo.
 
Kipaumbele kime cha ge baada ya mfuko kuchanika

Usiwaone NENDA TOUR wajinga, wala kuiona taasisi kubwa ya Yanga inakubali kuchafuliwa kwa madai ya uwongo ukadhani ni uzalendo.
Sio kila hbr ya kipumbavu ni ya kutoka na kuikanusha

Wapumbavu wanaachwa na upumbavu wao
 
Sasa 1B ipo costant haitumiki?

Hapo kuna M100 ya kodi imeyeyuka

Halafu fikiria tu nusu ya hiyo hela yote imeenda kwa Azizi Ki

Unafikiri wao wajinga kwenda moro?
Kama Yanga imetumia zaidi ya nusu ya pesa inazopata kutupa furaha wananchi bado jambo jema, Yanga sio bank useme inatunza pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Source yako ya kipumbavu inapingwa kwa facts tu coz source yako ya habari ya kwenda pre season Turkey ilibidi iwe Klabu ya Yanga yenyewe,tofauti na hapo ni upumbavu tu

Ningekuwa mjinga kama Yanga wangetoa hiyo taarifa ya pre season yao kwenda Turkey halafu ningekuja hapa kukubishia kwa maoni yangu binafsi

Endelea kuupunguza umbumbumbu ulionao mkuu
Tukiamua hivyo tutaweza sema hata Yanga yako nayo sio source ya kuaminika kuhusiana na mipango mzima ya club

Club ya Yanga unayoiona kama reliable source kumbuk ilishawahi kuweka picha ya chama akiwa amevalia jezi ya Yanga
 
Sio kila hbr ya kipumbavu ni ya kutoka na kuikanusha

Wapumbavu wanaachwa na upumbavu wao
Mambo mrngi ya kipumbavu mmeyashupalia ndio liwe hili?

Sio nyie mlitaka kuandamana kwenda hadi kwa mama samia kulalamika kuhusu marefa?

Kuna jambo la kipumbavu kuzidi hilo?
 
Kama Yanga imetumia zaidi ya nusu ya pesa inazopata kutupa furaha wananchi bado jambo jema, Yanga sio bank useme inatunza pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Boss anaumia nyie mnafurahi afu mkiambiwa michango mna mind
 
Hapo awali mabingwa wa Tz bara Yanga sc walipanga kwenda kufanya maandalizi ya msimu mpya nchini Uturuki.

Ikumbukwe kuwa usajili wa Azizi ki umeigharimu GSM kitita cha USD 200,000 na mshahara wa usd 10,000 kwa mwezi.

Raisi wa Yanga alimuomba Aziz ki wampatie nusu ya pesa ya usajili kwa msimu mmoja, na nyingine kummalizia msimu unaokuja lakini mchezaji huyo aligoma kupokea pesa nusu akitishia kugoma kujiunga na mabingwa hao wa Nbc.

Kutokana na kutumia pesa nyingi kwenye usajili wa Aziz ki GSM wameishiwa pesa hivyo wameona ni bora wakaweka kambi hapa hapa nchini.
View attachment 2292457
🦁Mwacheni wivu mjueee🤔
 
Tukiamua hivyo tutaweza sema hata Yanga yako nayo sio source ya kuaminika kuhusiana na mipango mzima ya club

Club ya Yanga unayoiona kama reliable source kumbuk ilishawahi kuweka picha ya chama akiwa amevalia jezi ya Yanga
Leta hiyo picha au screenshots kutoka kwenye official page ya Yanga
 
Mambo mrngi ya kipumbavu mmeyashupalia ndio liwe hili?

Sio nyie mlitaka kuandamana kwenda hadi kwa mama samia kulalamika kuhusu marefa?

Kuna jambo la kipumbavu kuzidi hilo?
Hapana jambo la kipumbavu zaidi ni lile la mbumbumbu kuoneshwa Bango la check linalo onesha pesa ya uwekezaji takribani imekuwa billion 20 zimewekwa Bank na wala haijulikani imewekwa bank gani

Na mwekezaji akiulizwa pesa imewekwa hana majibu yaliyo kamilika
 
Back
Top Bottom