Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.

"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."

1741336791901.png
 
Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.

"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."

Pacome atakaa pale kwenye namba yake pendwa hakitaharibika kitu
 
Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.

"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."

Wale wa mkoa wenye punda wengi nasikia UTI ni nyingi
 
Maumivu hayana mwenyewe, CHAMA PACOME ..bado kazi wanayo
 
Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.

"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."

hatutaki visingizio kesho wawepo wote wakati tunawasulubu uwanjani,tukiwafunga sababu isije ohh azizi k hakucheza
 
Inaonekana Azizi kapiga shows za kibabe kwa Mobetto.
Hili nakubaliana na wewe 100%. Hata uwe mwamba kiasi gani katika mazoezi show ya kwa bed inahitaji uzoefu bila hivyo unapigwa maumivu ya kiuno na homa juu.

Kile kiuno cha Aziz alichokuwa anajishikilia baada ya mechi aliyotupia goli mbili ni Mobetto kasababisha. Hii imeshawahi nitokea sikucheza mechi ya kwa selemala kwa zaidi ya mwezi. Kuja kupiga mechi kila kitu kilikuwa kinauma pamoja na ulimi. Aziz aongeze Kegel exercises
 
Back
Top Bottom