Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.

"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."

Mkewe keshafanya yake
 
Back
Top Bottom