Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mkuu kwahao wote hakuna wa kuziba pengo la azizKwenye namba yake Yuko max, chama na pacome wote ni number 10 wazuri tu ivyo sioni pengo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwahao wote hakuna wa kuziba pengo la azizKwenye namba yake Yuko max, chama na pacome wote ni number 10 wazuri tu ivyo sioni pengo lake
Mkewe keshafanya yakeKocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.
"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."