Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya Dunia haya hatuwezi kuyaacha 😂🤣🤣Ktk ubora wako
Hamisa anawaheshimisha wanawake kwelikweli, katengua kiuno mtu utopoloni huko.Shemeji wa taifa tutamkosa taifa
Kuamini kila kitu ni mind games ndio penye shida. Aziz alianza kushikilia kiuno mara baada ya mechi ya mwisho aliyotupia goli mbili. Na nafikiri maumivu yalimzidia baada ya pain killers kuisha nguvu. Hata mazoezini jana hakuwepo labda kama ametrain leo na wenzakeStupid mind games.
Tutaona, nimesevu hii comment yako.Kuamini kila kitu ni mind games ndio penye shida. Aziz alianza kushikilia kiuno mara baada ya mechi ya mwisho aliyotupia goli mbili. Na nafikiri maumivu yalimzidia baada ya pain killers kuisha nguvu. Hata mazoezini jana hakuwepo labda kama ametrain leo na wenzake
Kazi kwelikweli. Kwa hiyo huamini kuwa alikuwa anaumwa? Kocha kasema 50% Aziz kucheza.Tutaona, nimesevu hii comment yako.
Apunguze kupiga papuchiKocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.
"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."
Hamisa anaifanya kazi yetu kwa weledi wa hali ya juu, anazungusha kiuno kama feni chaijaba lazima akamue hadi uloto dadeq.Inaonekana Azizi kapiga shows za kibabe kwa Mobetto.
Anatuwakilisha vizuri kama taifa.Hamisa anaifanya kazi yetu kwa weledi wa hali ya juu, anazungusha kiuno kama feni chaijaba lazima akamue hadi uloto dadeq.
Sio derby.Kazi kwelikweli. Kwa hiyo huamini kuwa alikuwa anaumwa? Kocha kasema 50% Aziz kucheza.
Flat screen mixer by tassWale wa mkoa wenye punda wengi nasikia UTI ni nyingi
Baba umeibuka tupia utabiri mkuuSISI SIMBA TUNASEMA HIYO NI MINDGAME
Inaonekana Kijana anaishindia kama chakula vilemobeto`s impact
Yanga WinBaba umeibuka tupia utabiri mkuu
Mkuu wewe ni mnyama,, kwanini huioni team yako ikipata matokeo?Yanga Win