Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Stupid mind games.
Kuamini kila kitu ni mind games ndio penye shida. Aziz alianza kushikilia kiuno mara baada ya mechi ya mwisho aliyotupia goli mbili. Na nafikiri maumivu yalimzidia baada ya pain killers kuisha nguvu. Hata mazoezini jana hakuwepo labda kama ametrain leo na wenzake
 
Kuamini kila kitu ni mind games ndio penye shida. Aziz alianza kushikilia kiuno mara baada ya mechi ya mwisho aliyotupia goli mbili. Na nafikiri maumivu yalimzidia baada ya pain killers kuisha nguvu. Hata mazoezini jana hakuwepo labda kama ametrain leo na wenzake
Tutaona, nimesevu hii comment yako.
 
Kwani Aziz ki ndio nani mbona derby iliyopita alicheza na hakuonekanq alipotea kiujumla
 
Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.

"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."

Apunguze kupiga papuchi
 
Hizo ni mind game za watani lengo ni kuwapoteza maboya Makolo ila Aziz Ki yupo fiti na kesho atakuwepo uwanjani.
 
Back
Top Bottom