Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Pacome atakaa pale kwenye namba yake pendwa hakitaharibika kituKocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.
"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."
Saaaafiiii yote heriPacome atakaa pale kwenye namba yake pendwa hakitaharibika kitu
Wale wa mkoa wenye punda wengi nasikia UTI ni nyingiKocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.
"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."
hatutaki visingizio kesho wawepo wote wakati tunawasulubu uwanjani,tukiwafunga sababu isije ohh azizi k hakuchezaKocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga.
"Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo sawa ni Azizi Ki anasumbuliwa na nyonga bado ni asilimia 50/50% kucheza."
mobeto`s impact😃hiyo ni kazi ya mobeto
Yakutafuta mtoto sioInaonekana Azizi kapiga shows za kibabe kwa Mobetto.
umewaza kama mmDadaetu kashamtengua tayari.
Ndoa changa lazima ajitume kumnenepesha mamaInaonekana Azizi kapiga shows za kibabe kwa Mobetto.
siasaInaonekana Azizi kapiga shows za kibabe kwa Mobetto.
Hili nakubaliana na wewe 100%. Hata uwe mwamba kiasi gani katika mazoezi show ya kwa bed inahitaji uzoefu bila hivyo unapigwa maumivu ya kiuno na homa juu.Inaonekana Azizi kapiga shows za kibabe kwa Mobetto.
Yanga ina zaidi ya wachezaji bora 20Yanga ina wachezaji wawili tu Pacome na Mzize wengine ni Utopolo tu
Ulimi ulifanya kazi gani hadi ukauma🤔kila kitu kilikuwa kinauma pamoja na ulimi.
Kuna mwenzio anapenda kunyonywa mishipa ya shingo kwa ulimi 😊😊Ulimi ulifanya kazi gani hadi ukauma🤔