Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

Na derby iliyopita kuna yule beki wenu alijifanya ameumia mguu siku moja kabla. Acheni siasa.
 
Halafu unadhurula na love bites mtaani?πŸ€”
Mtu ananikandamiza shingoni nifanyeje? Anapambana nazo mwenyewe?

Najua ulifikiri ulimi ulitumika kwenye upuuzi wako kama ng'ombe 🀣🀣🀣
 
Kwenye namba yake Yuko max, chama na pacome wote ni number 10 wazuri tu ivyo sioni pengo lake
 
Ila dogo anafaidi kamobeto kanahamasisha sana kuinua mkonga
 
Washavunja kiuno huyo na hakitengemai.
Ndo basi tena, Ndiku nae alivunjwa kiuno akasingizia goti.
Uturuki wakamtosa na mke kakimbia.
 
wakulaumiwa ni mobeto kazidisha mauno mpaka kamvubja nyonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…