OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwasabau kila ukitaka kumfananisha Chama na Aziz Ki hesabu zinakataa unabaki kuumia tuMambo mengine yanastaajabisha sana. Wacha tu ninyamaze ili nisionekane nina nongwa.
umekutana na facts umeishiwa manenoMambo mengine yanastaajabisha sana. Wacha tu ninyamaze ili nisionekane nina nongwa.
Time will tell. Kama ukiona mchezaji mwenye miezi 2 tu kwenye ligi, analinganishwa na mchezaji mwenye miaka zaidi ya 4!!Ni kwasabau kila ukitaka kumfananisha Chama na Aziz Ki hesabu zinakataa unabaki kuumia tu
Afu ungejua wanao mlinganisha Aziz Ki na Chama, ni mashabiki wa Yanga.Time will tell. Kama ukiona mchezaji mwenye miezi 2 tu kwenye ligi, analinganishwa na mchezaji mwenye miaka zaidi ya 4!!
Basi unatakiwa kumuangalia kwa jicho la karibu sana huyo mchezaji.
Kwan ngao ya hissani ilikuwaje walipokutana ?
Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.
Tulia[emoji2]Makolo huwa mnafujo sana mkishinda, mkipigwa sasa inakuwa ni fujoo [emoji1787][emoji1787]
😄😄😄😄Tulia[emoji2]
Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.