Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nimemjibu post number 28Kuna mkuu huko juu ungesoma comment yake ungejiona hauna akili na ukaukimbia huu uzi,how unamlinganisha mchezaji mwenye miezi miwili kwenye ligi yetu na match 3 za kimashindano na mchezaji mwenye misimu 4 kama si ujuha,halafu mjue kotoko kule sudan hajapeleka sio tu kikosi cha pili,amepeleka timu b
Post in thread 'Aziz Ki atumie muda mwingi kujifunza kwa Chama' Aziz Ki atumie muda mwingi kujifunza kwa Chama
Soma halafu uniambie nani mjinga