Aziz Ki atumie muda mwingi kujifunza kwa Chama

Aziz Ki atumie muda mwingi kujifunza kwa Chama

Mbona mnawashwa washwa haraka haraka namna iyo aisee, uyo Aziz ki unaemlinganisha na chama ana muda gani kwenye soka la Tanzania? Uanze kumlinganisha akimaliza angalau msimu mmoja ndo mbivu na mbichi zitajulikana sio kulinganisha mchezaji aliyesajiliwa ajamaliza ata miezi 2, utakuwa ni punguani alafu unamlinganisha na mtu ambae ana misimu si chini ya 4 kwenye soka la tanzania
Baadae atakuja kuukimbia uzi wake kama ule wa Mayele na Kibu D
 
Hii Sasa kufuru, mchezaji mwenye spidi ya konokono ukamlinganishe na highly profile player Stefan Aziz K!![emoji28][emoji28][emoji28]
Chezaji la ligi moja ukilipeleka kwingine linaishia kukaa bench nalo chezaji eti speed kma konokono[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Last semister mlisema hivi hivi kuhusu Mayele na Kibu. Tena nadhani ni mtoa mada huyu huyu na ule uzi ulikuja kufufuliwa tena wakati ligi inakwenda ulingoni mtoa mada akawa mdogo na akaukimbia uzi wake kabisa. Sasa naona hujifunzi tu
 
Mbona mnawashwa washwa haraka haraka namna iyo aisee, uyo Aziz ki unaemlinganisha na chama ana muda gani kwenye soka la Tanzania? Uanze kumlinganisha akimaliza angalau msimu mmoja ndo mbivu na mbichi zitajulikana sio kulinganisha mchezaji aliyesajiliwa ajamaliza ata miezi 2, utakuwa ni punguani alafu unamlinganisha na mtu ambae ana misimu si chini ya 4 kwenye soka la tanzania
Utetezi wa mashabiki wa Yanga kwa mchezaji wao ni the same huo huo kwa wote, no body seems to have different opinions rather than "ana miezi miwili wakati chama ana miaka 4"

Sisi hatulinganishi takwimu za msimu, tunafanya comparison kwa idadi ya mechi ambazo wote wamecheza na wote tumeziona.

Ingekuwa kujua ubora wa mchezaji ni mpaka amalize msimu wote basi leo hii hawa wakina kambole wangeonekana bora

Hata Simba kuna wachezaji ambao kocha hajafurahishwa na viwango vyao, ameweza kulijua hilo mapema kupitia perfomance ya mechi chache tu, hajasubiri msimu uishe.
 
Nyie mlitoa milion 400 kumsajili kwa ajili ya kazi ya kupiga tobo?

Upana wa miguu iliyopigwa tobo mbona ni midogo kuliko upana wa goli, kwanini pamoja na upana huo mkubwa wa goli bado hajaweza kufunga?
Kuna mkuu huko juu ungesoma comment yake ungejiona hauna akili na ukaukimbia huu uzi,how unamlinganisha mchezaji mwenye miezi miwili kwenye ligi yetu na match 3 za kimashindano na mchezaji mwenye misimu 4 kama si ujuha,halafu mjue kotoko kule sudan hajapeleka sio tu kikosi cha pili,amepeleka timu b
 
Kigezo pekee wanachotumia yanga kumpambanisha chama na huyo aziza wao ni kwa sababu wamemnunua kwa hela nyingi ila uwanjani mwamba ni mmoja tu, hata wenyewe wanalifahamu hilo ila ni ubishi tu ..
 
Time will tell. Kama ukiona mchezaji mwenye miezi 2 tu kwenye ligi, analinganishwa na mchezaji mwenye miaka zaidi ya 4!!

Basi unatakiwa kumuangalia kwa jicho la karibu sana huyo mchezaji.
Hakuna cha jicho la karibu wala nini, ni kwasababu ya upumbavu wenu wana utopolo wa kuwapa ufalme wachezaji ambao hawastahili .. Aziz ki wakawaida sana kwa chama ila mmeamua kumpa ufalme ambao hastahili.
 
Yaani unategemea mashabiki wa Karia wakuelewe Kwa ufafanuzi huu? Utakesha.
 
Kuna mkuu huko juu ungesoma comment yake ungejiona hauna akili na ukaukimbia huu uzi,how unamlinganisha mchezaji mwenye miezi miwili kwenye ligi yetu na match 3 za kimashindano na mchezaji mwenye misimu 4 kama si ujuha,halafu mjue kotoko kule sudan hajapeleka sio tu kikosi cha pili,amepeleka timu b
Yah ni kama Somalia alivyoleta under 20 na mkaburuzwa [emoji23][emoji23]
 
Nyie mlitoa milion 400 kumsajili kwa ajili ya kazi ya kupiga tobo?

Upana wa miguu iliyopigwa tobo mbona ni midogo kuliko upana wa goli, kwanini pamoja na upana huo mkubwa wa goli bado hajaweza kufunga?
Hiyo sio timu makini kaka ,timu makini haiwezi kumsifia mchezaji kisa kapiga mtu tobo
Never
 
Back
Top Bottom