Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Huu Uzi Utafufuliwa Tu Soon Ngoja, Si Mnaukumbuka Ule Wa Kibu D Vs Mayele Mtu Alivyokimbia Uzi Wake, Ngojaa…Hahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi linganisha takwimu za uko alikotoka pia kama unataka takwimuUtetezi wa mashabiki wa Yanga kwa mchezaji wao ni the same huo huo kwa wote, no body seems to have different opinions rather than "ana miezi miwili wakati chama ana miaka 4"
Sisi hatulinganishi takwimu za msimu, tunafanya comparison kwa idadi ya mechi ambazo wote wamecheza na wote tumeziona.
Ingekuwa kujua ubora wa mchezaji ni mpaka amalize msimu wote basi leo hii hawa wakina kambole wangeonekana bora
Hata Simba kuna wachezaji ambao kocha hajafurahishwa na viwango vyao, ameweza kulijua hilo mapema kupitia perfomance ya mechi chache tu, hajasubiri msimu uishe.
Kama hili [emoji23][emoji23]Hata mchezaji wao yule nani yule aliekua mchezaji bora msimu ulopita nae alipigwa tobo kwny mechi yao na coastal mbonaaaa kwani tobo ndo nini jamani au huko jangwani kuna matobo ya aina nyingine ss hatuyajui maana akipigwa mtu tobo wao wanasisimkwa na inakua ishu kubwa
Yah tena lile la Yanga lilikua la kushtukiza maana alikua ameshngaa tuu. Huyo hapo alikua anataka kuurudisha mpiraKama hili [emoji23][emoji23]View attachment 2338700
Huyu amekuja kujibu hoja zilizoanzishwa na YangaMuanzisha uzi ni yanga?
Kibu kwa nyakati zile alikuwa bora kuliko Mayele kuzingatia muda anaochezaNyie hata siwashangai uwezo wenu wa kufikiri. Nakumbuka msimu uliopita mechi hata kumi hazijafika mkaleta uzi wa Kibu kuwa ni bora kuliko Mayele. Shida mna haraka mno
Futa rekodi zote za Mwamba msimu 4,anzia Simba Day mpaka sasa. Kisha linganishaMbona mnawashwa washwa haraka haraka namna iyo aisee, uyo Aziz ki unaemlinganisha na chama ana muda gani kwenye soka la Tanzania? Uanze kumlinganisha akimaliza angalau msimu mmoja ndo mbivu na mbichi zitajulikana sio kulinganisha mchezaji aliyesajiliwa ajamaliza ata miezi 2, utakuwa ni punguani alafu unamlinganisha na mtu ambae ana misimu si chini ya 4 kwenye soka la tanzania
HApa ndipo unapoona akili za Otopolo... Na jinsi walivyomwagikwa nyongo basi ule usemi wa Manara kuwa wenye akili ni wawili tu hapo Utopoloni unadhidi kujidhirisha..kwani kuna ubaya kujifunza kwa mtu anayekuzidi mauwezo?
Hii point Utopwinyo hawapendi kuisikiaMchezaji mnayetaka mpaka acheze mechi 20 ndio mpime ubora wake huwezi kufananisha na ubora wa mchezaji anao uonesha kila mechi anayo cheza
Yamebaki kunga'ng'nia time will tell, time will tel...Futa rekodi zote za Mwamba msimu 4,anzia Simba Day mpaka sasa. Kisha linganisha
Huwezi jifunza kwa alie fail bora ajifunze kwa Msuva au Kisindakwani kuna ubaya kujifunza kwa mtu anayekuzidi mauwezo?
Kuna tobo halafu kuna tobo na goli juu tofautishaHata mchezaji wao yule nani yule aliekua mchezaji bora msimu ulopita nae alipigwa tobo kwny mechi yao na coastal mbonaaaa kwani tobo ndo nini jamani au huko jangwani kuna matobo ya aina nyingine ss hatuyajui maana akipigwa mtu tobo wao wanasisimkwa na inakua ishu kubwa
Hamna cha tofauti hapo,labda kama hilo tobo halijaingia mpiraKuna tobo halafu kuna tobo na goli juu tofautisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna mpyaaaa, unabaki kulia lia Lol.Mambo mengine yanastaajabisha sana. Wacha tu ninyamaze ili nisionekane nina nongwa.
Huyo Aziz Ki hata kuuliziwa huko Berkane nehi, mwenzake Karim yuko zake Ulayaaaa. Yeye kigamboni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angekuwa mzuri lisingekaa bench na kufukuzwa berkane[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Chama huyohuyo. Huwezi mlinganisha na mchezaji anayechezea timu ambayo haijawahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa hata ya kirafiki tu tangu miaka ya 2014 huko.
Kwenye ligi?
Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.
akikaa sawa huoni kama atakuwa amefanyia kazi ushauri wa kujifunza kwa Mwamba?Huu Uzi Utafufuliwa Tu Soon Ngoja, Si Mnaukumbuka Ule Wa Kibu D Vs Mayele Mtu Alivyokimbia Uzi Wake, Ngojaa…Hahah