Aziz Ki kawavutia sana mashabiki wa mpira huko South Africa

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Kwenye media za michezo huko South Africa kuhusu game ya jana naona mashabiki wa Mamelod na Kaiser chiefs wamepagawa na kiwango cha Aziz Ki. Kila shabiki anashauri klabu chake kimsajili.

Kuna mmoja akaenda mbali zaidi kwa kusema sio tu lile goli lililokataliwa bali jinsi alivyo na nguvu za miguu na ball control.

Bila shaka huyu tutamkosa msimu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…