kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuna watu wanatafuta negatives TU kwenye maisha ya wengine. Aziz Ki ni mtu mzima, anahitaji kibali cha nani kumuoa mke yupi?.
Ni mtanzania yupi anajua taratibu za kabila la Aziz Ki kwenye kuoa zaidi ya Aziz Ki mwenyewe?
Kuna watu wanatamani kutia doa ndoa ya Aziz Ki kana kwamba wameombwa kuchangia chochote kufanikisha ndoa yake. Au Wana bifu na hamisa kuolewa?
Tafuteni contents sehemu nyingine
Ni mtanzania yupi anajua taratibu za kabila la Aziz Ki kwenye kuoa zaidi ya Aziz Ki mwenyewe?
Kuna watu wanatamani kutia doa ndoa ya Aziz Ki kana kwamba wameombwa kuchangia chochote kufanikisha ndoa yake. Au Wana bifu na hamisa kuolewa?
Tafuteni contents sehemu nyingine