Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Na kweli.Suala siyo ndoa, suala ni kuoa mali ya umma. Mke wa watu huyo.
Watu wanamhurumia tuu hakuna kingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli.Suala siyo ndoa, suala ni kuoa mali ya umma. Mke wa watu huyo.
Watu wanamhurumia tuu hakuna kingine.
Jukwaa la ndoa na mahusiano lipo huko kuwa aziz mwanamichezo halialalishi kuja kujadili udaku unao muhusu yeye na habari zake vitobo!Aziz sio mwanamichezo? jiongeze bro!!
Aziz Ki ndiye atakaemjibu mama yake na ndugu mwingine anaelalamika kuhusu uwamuzi wake wa kumuoa Hamisa Mtanzania, na sio mtu mwingine yeyote.Mtu akiwa kwenye jamii lazima wanajamii watoe maoni,maonyo,dukuduku,pongezi n.k kuhusu huyo mwanajamii, kama hataki hivyo inafaa aondoke katika jamii husika.
Ndio maana wao wanapost kila wanalofanya ili watu waone watoe maoni n.k