Azizi Ki tukitolewa kazi unayo, tafuta chimbo la kujificha kabisa!!

Azizi Ki tukitolewa kazi unayo, tafuta chimbo la kujificha kabisa!!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
 
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
Blaza hukuona ile ni offside au
 
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
Unachukulia mpira ni rahisi kama unacheza rede?
Kwenye utoto wako hukucheza mpira mpaka unafika ukubwani. Sasa hivi umezeeka unaanza kuwasumbua watu😁😁😁😁😁
Omba hata nafasi ucheze Ndondo Cup uone mpira unavyochezwa siyo wa maneno
 
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
Mbona umeandika kihuni sana? Relax mkuu, second leg itakuwa poa sana, maana timu itakuwa full na hatutakuwa na Cha kupoteza.
 
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
Comrade kama kushabikia mpira kunakushinda, basi ni bora ukashabikia tu hata ndondi za akina Mandonga mtu kazi.

Mpira tuachie sisi Wandewa.
 
Bila shaka wewe utakuwa madunduka tu. Ndio wenye haraka hizo. Huku YANGA hatuna mtu mropokaji ovyo kama wewe.
Mnajikutaa?? Hao hao mashabiki ndo waliowapa majina timu yenu..huwezi kukosa watu wa hivyo kwny timu msijifanye malaika sana..kwny kundi kubwa huwezi kukosa wakosoaji wa ndani humo humo kwenu...eti hatuna mtu kama ww hahahaah au unataka clip za waongea fyongo wa yanga.. 😆 😆
 
sema mamelodi Jana wamewazarau sana.nyie sio wakufanyiwa vile bhanaa mmebaki kuvizia tuu kumiliki gem mlishindwa
 
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
ule mguu wake wa kulia ni kama mlemavu, hauwezi kitu kabisa. ukijua tu kuziba upande wa kushoto hawezi chochote.
 
Haiwezekani historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwa timu kutoka taifa hili ipo mlangoni kwetu kabisa halafu wewe unapata nafasi ya wazi unataka kujing'arisha binafsi kwa kufunga goli la video.....mnaita sijui 'payenka' wenyewe. Inakera sana kwani tungekuwa mbele kwa goli moja saa hizi.
ule mguu wake wa kulia ni kama mlemavu, hauwezi kitu kabisa. ukijua tu kuziba upande wa kushoto hawezi chochote.
 
Back
Top Bottom