Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,064
- 2,603
Wale ni kawaida yao kutukana ila huku sisi hatutukani wachezaji wetu. Mchukueni na mtoa uzi aje huko Ukoloni ili awe anatukana zaidi.Kwani la Kibu juzi hakuwa offside??! mbona walimtukana sana?