Azizi Ki tukitolewa kazi unayo, tafuta chimbo la kujificha kabisa!!

Azizi Ki tukitolewa kazi unayo, tafuta chimbo la kujificha kabisa!!

Una miaka 5 JF halafu bado unatumia akili za Facebook?
 
Wale jamaa walikuwa wanapiga pasi nyuma Ili kuwavuta Yanga waende waache space nyuma wao wapige mipira mirefu washambulie spaces wapate goals na ndiyo mbinu yao kubwa wanayotumia ila gamondi alistukia mchezo Yanga wakawa wanazuia kwenye midbloc. Mamelody wakifika katikati ya uwanja Yanga ndiyo wanawapress na kunyang'anya mipira. Asiyejua Mpira atakwambia Mamelody wamepossess Sana Mpira lakini walipossess kwenye 18 Yao ambayo haikuwa na madhara yoyote ndiyo maana mpaka dak90 wana on target 2 Yanga wana 4.
Umemaliza mkuu
 
Back
Top Bottom