Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

Ujinga mwingine ni mzigo. Sasa mbali na goli kuna kingine kafanya?
😎 😎 😎 Huo wako ni Upumbavu kabisa...Kwa hiyo goli unafunga tu kama uko chooni unajisaidia haja kubwa??? Kufunga goli kama lile kunaonyesha amefanya juhudi za kutosha...Mashuti mangapi amepiga kwa Manula kabla hajafunga goli??? Kuwa na data kwanza usiongee tu kama Mlevi wa Gongo wa Uwanja wa Fisi.
 
Mchezaji wa Afrika Magharibi aache kwenda Ulaya au China eti aje acheze NBC Premier League
Mwenzake Konate alienda zake mambelee hukooo. Yeye kaja Salamander. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani alitumwa kufanya nini kingine?
Alitumwa kucheza dkk 9 ktk match muhimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ufunguooooooooooooo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…