Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

.
1660113463286.jpg
 
Ujinga mwingine ni mzigo. Sasa mbali na goli kuna kingine kafanya?
😎 😎 😎 Huo wako ni Upumbavu kabisa...Kwa hiyo goli unafunga tu kama uko chooni unajisaidia haja kubwa??? Kufunga goli kama lile kunaonyesha amefanya juhudi za kutosha...Mashuti mangapi amepiga kwa Manula kabla hajafunga goli??? Kuwa na data kwanza usiongee tu kama Mlevi wa Gongo wa Uwanja wa Fisi.
 
Kwani alitumwa kufanya nini kingine?
Alitumwa kucheza dkk 9 ktk match muhimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ufunguooooooooooooo!!!
 
Back
Top Bottom