Kuna watu weengi sana waliwekeza kwenye ardhi huko Bagamoyo sasa JPM akawapiga chenga kama alivyofanya maeneo ya Nala DodomZungu ulionelsna ukigawa fedha uchaguzi mkuu 2020. Sasa unatafuta 10% huko bagamoyo. Au ulinunua viwanja 1000 sasa unatafuta mji uhamie huko
Wabunge wetu ni mbumbu, how we vote for imbeciles, I just can’t understand. Funga bunge na Pima akili zao, 99% ni vichaa, they have serious mental issues!Kuna watu weengi sana waliwekeza kwenye ardhi huko Bagamoyo sasa JPM akawapiga chenga kama alivyofanya maeneo ya Nala Dodom
saivi wanataka wakaiuzie Serikali ardhi yao ikiwa mraji utaanza
Zungu hana akili, anatakiwa akalazwe Mirembe hospital.Zungu mawazo yake hayana faida Kwa taifa kashindwa kuiongoza ilala kuwa na barabara nzuri kwa kipindi chote Cha ubunge wake.
Bandari hii ni muhimu sana lakini tu alimradi usiingilie utendaji kazi wa bandari zingine wala mamlaka zetu za mapato zisiwekewe vikwazo za ukusanyaji mapato katika bandari hii mpya ya bagamoyo aidha ni bora tukaziuza ndege zote tukabaki na mbili tu na fedha zote zikaingizwa katika mradi wa BAGAMOYO.
Uchumi wa Singapore na Malaysia wanategemea bandari mkuu,kwa hiyo bandari ni mojawapo ya vyanzo vya mapato kwa asilimia kubwa vyenye uhakika kwa mwakaSiungi mkono Kujenga hii Bandari.
Na sijui kwa nini inashikiwa bango bila maelezo ya kutosha kuhusu Bandari ya Dar, Tanga na Mtwara.
Hivi uhitaji wa hii Bandari ni mkubwa kiasi hicho hata tuache shughuli nyingine tuweke nguvu hapo?.
Huyu mzee ameshatuona sisi ni wajinga tutafanya Kila anachosema.Zungu please, you are a moron who needs urgent assistance. Huna akili.
Mchezo Kama huo aliuufanya pia Manji huko Kigamboni, baada ya kustuliwa na watu wa ndani kuhusu Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kupita,yeye Manji akawafuata Wakazi wa pale kwenye mradi na kuwarubuni kununua Viwanja vyao kwa M7 kwa kila mwenye kipande chake Cha Aridhi na kweli wengi walimuuzia maana walikuwa hawajui kuwa mradi tayari unakuja, na wale wachache waliojuwa walitishwa kuwa watanyanganywa Aridhi yao na Serekali,basi kwa haraka haraka nao wakakubali kumuuzia manji, japokua kuna wachache sana wao walichukua pesa kwa Manji na bado wakamkatalia, hao wengi wao walikua Wanajeshi wastaafu,Kuna watu weengi sana waliwekeza kwenye ardhi huko Bagamoyo sasa JPM akawapiga chenga kama alivyofanya maeneo ya Nala Dodom
saivi wanataka wakaiuzie Serikali ardhi yao ikiwa mraji utaanza