Azzan Zungu ataka mazungumzo Bandari ya Bagamoyo kunusuru tatizo la ajira

Azzan Zungu ataka mazungumzo Bandari ya Bagamoyo kunusuru tatizo la ajira

hizo meli kubwa haziwezi kuingia Dar, kwanini zisipelekwe mtwara ambayo ni natural port mpaka hapo mtakapo baadaye miaka 10 au 20 inayo kuja baada ya wachumi na wana sheria kuupitia vizuri,sio wanasiasa
Wanasheria na Wanasiasa wote ndiyo walewale Wazee wa 10% bila kuangalia madhara yake mbele!!
 
Aaa! Zungu! Zungu huyu huyu ndiye aliyepigia debe kodi ya uzalendo (Kodi ya laini za simu), mpk imeanzishwa
 
Hiyo bandari inapigiwa kelele kina kona, wengine wanaitaka, wengine hawaitaki, ili kumaliza hii vurugu kwanini hao wanaoitaka sana hii bandari wasituwekee mkataba tuuone tujiridhishishe nini nchi yetu itapata ili huo ujenzi uendelee, badala ya kulazimisha tu ijengwe katikati ya hizi kelele za hofu ya kuogopa kupigwa kutokana na "image" mbovu waliyojitengenezea viongozi wa CCM kutaka 10%
 
Kuwapa hao wachina for 99 years ni kuuza nchi.
Sheria ya Ardhi inaruhusu hilo hta wakatoliki maeneo yote walionunua walipewa hizo 99 Years.

Mradi wa trillion 20+ mpaka ufike maximum capacity unadhani miaka 33 inatosha? Ukubwa wa mradi ndio una determine urefu wa umiliki wa ardhi husika kwa uwekezaji.

Kwahiyo tunaweza kupinga mradi ila kuhusu 99 years hiyo sio hoja kabisa.
 
Hiyo bandari inapigiwa kelele kina kona, wengine wanaitaka, wengine hawaitaki, ili kumaliza hii vurugu kwanini hao wanaoitaka sana hii bandari wasituwekee mkataba tuuone tujiridhishishe nini nchi yetu itapata ili huo ujenzi uendelee, badala ya kulazimisha tu ijengwe katikati ya hizi kelele za hofu ya kuogopa kupigwa kutokana na "image" mbovu waliyojitengenezea viongozi wa CCM kutaka 10%
Wameshazoea kusainia mikataba nje ya nchi, wakiwa na hangover huku wamezungukwa na escorts, waweka hadharani ili iwe nini kwao? Na kwa jinsi walivyo kwa sasa, watakaouweka hadharani, sio watakaosaini😁
 
Hiyo bandari inapigiwa kelele kina kona, wengine wanaitaka, wengine hawaitaki, ili kumaliza hii vurugu kwanini hao wanaoitaka sana hii bandari wasituwekee mkataba tuuone tujiridhishishe nini nchi yetu itapata ili huo ujenzi uendelee, badala ya kulazimisha tu ijengwe katikati ya hizi kelele za hofu ya kuogopa kupigwa kutokana na "image" mbovu waliyojitengenezea viongozi wa CCM kutaka 10%
JPM aliitoa Tanzania from Open Governance initiative iliyolaizumu serikali kuweka uwazi kwenye mikataba yake.

Kupitia sheria ya TEITA? Inalazimu mikataba ya rasilimali zetu kuwekwa wazi bungeni na hata ripoti za ukaguzi ziwekwe wazi lakini mpaka leo sheria hiyo haitekelezwi sababu JPM alizuia hilo.

Labda Mama Samia aturudishe OGI
 
Ni yaleyale kama ya ujenzi wa viwanja viwili vya michezo sehemu moja, Uwanja wa Benjamin Mkapa na ule Uhuru.

Kuna faida nyingi za kiuchumi tutazipata kama nchi endapo bandari za Mtwara na Tanga zitakapopanuliwa na kuweza kupokea shehena kubwa za mizigo badala ya kung'ang'ania ujenzi mpya wa bandari ya Bagamoyo ambayo ipo karibu sana kijografia na bandari ya Dar es Salaam.
Bagamoyo pia ingetanua Jiji la Dar Es Salaam maana miundombinu iloyopo ndio ina support bandari iendelezwe Bagamoyo. Mfano SGR ukaribu na Airport ya kimataifa kubwa.... N.k sasa Mtwara huko itahitaji tena usafirishe mpaka Dar ndio upeleke mkoani au uweze ku access Amenities nyingi hivyo inakua costly zaidi.

Nadhani kwa Bagamoyo ni viable zaidi pia ina naturap port yenye kina kirefu possibly kuliko za mtwara na wenzie.
 
Zungu please, you are a moron who needs urgent assistance. Huna akili.
The guy is a nincompoop.
How many jobs is the port going to create?
He suggested the unpopular mobile phone tax, as if that is not enough.
What is wrong with expanding Dar, TANGA, Zanzibar and Mtwara ports.
Kuzaliwa kwa Zungu Ni ajali kwa taifa hili.
Bandari nyingi Zita create njia nyingi za kuingiza madawa ya kulevya.
 
Bandari tata bado tunaibiwa.
Zungu anataka tens nyingine,mbona hiyo ya dar tunapopigwa hafumui tatizo
 
Bandari hii ni muhimu sana lakini tu alimradi usiingilie utendaji kazi wa bandari zingine wala mamlaka zetu za mapato zisiwekewe vikwazo za ukusanyaji mapato katika bandari hii mpya ya bagamoyo aidha ni bora tukaziuza ndege zote tukabaki na mbili tu na fedha zote zikaingizwa katika mradi wa BAGAMOYO.
Faida za shirika imara la ndege wewe huzijui, wenye kuzijua hawawezi kukuelewa. Haipo maana yenye kueleweka ya kuua sekta ya anga ili uinue sekta ya bandari.
 
Port of Dar es Salaam. Tanzania plans to upgrade the port to improve capacity, performance and efficiency. PHOTO | FILE

Summary

  • The construction of the $10 billion Bagamoyo port, which would be the largest port in East Africa, has been suspended.
  • Tanzania wants to focus, instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Dar es Salaam and Mtwara ports.
  • The initial works for the Bagamoyo port had already started after former President Jakaya Kikwete broke ground last October with some residents relocated to other areas to pave way for the construction.
ADVERTISEMENT

The construction of the $10 billion Bagamoyo port, which would be the largest port in East Africa, has been suspended.

Tanzania wants to focus, instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Dar es Salaam and Mtwara ports.

The Minister for Works, Transport and Communications, Prof Makame Mbarawa, said the government will upgrade berths 1 to 7 and construct two additional ones, 13 and 14, at the Dar port as well as develop the Mtwara one.

“I do not want to reveal too much details or plans by the government on the fate of this project [Bagamoyo]. What I can say is only that we are currently concentrating on the Dar es Salaam and Mtwara ports,” he told The Citizen.

However funding constraints for the two ports are standing in the way of the revamp efforts.

“We are looking for funds for the port of Dar es Salaam and then for the Mtwara Port,” he said.

ADVERTISEMENT

The World Bank has agreed to fund the facelift of berths 1 to 7 and talks are ongoing to also finance the construction of berths 13 and 14, Prof Mbarawa said without revealing the cost of the projects.

The government hopes to start the refurbishment this year and complete by 2018.

“It all depends with the financial resources. If we get the funding soon the projects will run,” he said.

The initial works for the Bagamoyo port had already started after former President Jakaya Kikwete broke ground last October with some residents relocated to other areas to pave way for the construction.

READ: Tanzania’s $10 billion port project threatens Mombasa hub status

Prof Mbarawa said the decision to suspend the building of the port was because the multibillion-shilling project was too big; it needed more attention, a lot of planning and a major source of funding.

Bagamoyo port was also put in the queue by the need to take advantage of huge inflows of foreign direct investments in the natural gas-rich regions of Lindi and Mtwara, the government said.

Politically sensitive

The port has so far become a politically sensitive issue. Opposition politicians and the private sector have poured scorn on the project arguing it was a waste of resources and urged for improving the existing Tanga, Dar and Mtwara ports instead and the connecting infrastructure.

President John Magufuli was forced to defend the project during last year’s election campaigns against attacks from the opposition presidential candidate Edward Lowassa who had criticised it. Mr Lowassa while campaigning in Tanga had said if elected president he would shelve the project and put resources on improving the Tanga port.

“As far as I am aware, the Bagamoyo port would benefit all Tanzanians and not Bagamoyo residents alone. We should stop sowing the seeds of divisions for the sake of votes,” Dr Magufuli said at a campaign stop.

Opposition politicians have also been complaining that the construction of such a huge project was done without consulting Parliament.

The Bagamoyo project will occupy 800 hectares and another 1,700 hectares of Portside Industrial Zone, which will be developed under tripartite agreement of Government of Tanzania (GoT), China Merchants Holdings International (CMHI) from China and State Government Reserve Fund (SGRF) from Oman.

The new port will have the capacity to handle 20 million containers a year when completed, compared with Mombasa’s 600,000 and Dar es Salaam’s 500,000 containers.

The first phase was to be completed in 2017. The initial funding of the project was expected to come from China though negotiations for funding the entire project were said to be going on.

An agreement for the initial development of the Bagamoyo Port Project was signed in March 2013 during the visit of the Chinese President Xi Jinping as part of the Tsh1.28 trillion infrastructure package deals. The agreement specified that $500 million would be designated for port financing for the year of 2013 to allow the project to start.
 
JPM aliitoa Tanzania from Open Governance initiative iliyolaizumu serikali kuweka uwazi kwenye mikataba yake.

Kupitia sheria ya TEITA? Inalazimu mikataba ya rasilimali zetu kuwekwa wazi bungeni na hata ripoti za ukaguzi ziwekwe wazi lakini mpaka leo sheria hiyo haitekelezwi sababu JPM alizuia hilo.

Labda Mama Samia aturudishe OGI
JPM alishaondoka sioni haja tuendelee kumlaumu kila wakati coz hakuondoka na akili zetu, haya mambo ni vyema yarekebishwe ili tusonge mbele, kama inajengwa tujue, kama haijengwi tujue, sio kila siku hawa wanataka wale hawataki, mwishowe utageuka mchezo wa kuigiza.
 
Back
Top Bottom