B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.

Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.

Gerald Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.

Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.

Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.
 

Attachments

  • 2416943_1591178063185.jpg
    2416943_1591178063185.jpg
    25.8 KB · Views: 17
  • oscar.png
    oscar.png
    103.5 KB · Views: 18
  • Z_mysbBP_400x400.jpg
    Z_mysbBP_400x400.jpg
    20.8 KB · Views: 15
  • jUuvtG0z_400x400.jpg
    jUuvtG0z_400x400.jpg
    15 KB · Views: 20
Habari za uhakika nilizo nazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.

Oscar Oscar ameondoka EFM , Oscar Oscar ameondoka EFM. Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.

Geral Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.

Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.

Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.
Katika mind games basi Majizo ameweza kuwahadaa watanzania wengi
 
Msiwe mnawadanganya vijana wasio jua kitu

Tanzania hakuna media inayolipa zaidi million tatu kwa mtangazaji

Signing fee ya nyiok? Yaani Tanzania siku hizi ukiomba kazi unalipwa?

Wasafi inampa faida ngapi kusaga hadi afanye huo upuuz
 
Back
Top Bottom