Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kwanini sasa..!!!?Ila wewe hautokufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini sasa..!!!?Ila wewe hautokufaa
Jamaa anajua sana yuleKapiga Clouds anajitolea kukuza jina, haambulii kitu pale
Uhandishi❌ uandishi✔️Kwanini sasa..!!!?
Mbona umeniandama hivoUhandishi❌ uandishi✔️
Usichukulie serious mzee. Hamna kitu.Kumbe uhandishi wa habari una pesa hivi duuh
Kusema yanayosemwa hapo ni uwongo mkuuUsichukulie serious mzee. Hamna kitu.
Jaman[emoji23][emoji23][emoji23]Nilishakaa karibu na watangazaji wa RFA na kiss .Bwiru place -Mwanza walikuwa na njaaa ya hatari wangeweza kula hata magodoro.
Hahaha..Watu mna dhambi kinoma..Nilishakaa karibu na watangazaji wa RFA na kiss .Bwiru place -Mwanza walikuwa na njaaa ya hatari wangeweza kula hata magodoro.
Hujui tu Kaa kimyaMsiwe mnawadanganya vijana wasio jua kitu
Tanzania hakuna media inayolipa zaidi million tatu kwa mtangazaji
Signing fee ya nyiok? Yaani Tanzania siku hizi ukiomba kazi unalipwa?
Wasafi inampa faida ngapi kusaga hadi afanye huo upuuz
Inatagemea umeomba au umeombwaJaman[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanashangaa eti 6.5 milioni kama mshahara kwa hao jamaa ni kubwa.Kuna Business back the stage hao jamaa ..
Kisa wanatuhadithia matokeo ya mechi ambazo tumeziona livewatangazaji wale mkwanja wote huo kwa kipi cha maana wanacho tangaza