B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Msiwe mnawadanganya vijana wasio jua kitu

Tanzania hakuna media inayolipa zaidi million tatu kwa mtangazaji

Signing fee ya nyiok? Yaani Tanzania siku hizi ukiomba kazi unalipwa?

Wasafi inampa faida ngapi wasafi hadi afanye huo upuuz
Hata mimi nimeshangaa na kujiuliza ina maana hawa wamiliki wa hizi media wana ukwasi kiasi gani na wanaingiza sh ngapi?
 
Dozen keshaondoka maweek kadhaa sasa na hizo story za Viwango vya mishahara na makubaliano uliyohorodhesha ni Story za vijiweni tu. Walipwe Pesa hizo sababu ya kufanya vipindi visivyozidi viwili week days je!? Kipindi kinaingiza KIASI GANI???
Hakuna ukweli!!! Matango pori.
 
Back
Top Bottom