dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
aiseekufungiwa na Majizo kwa miezi mitatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseekufungiwa na Majizo kwa miezi mitatu
Hivi wasafi wanawalipaje mshahara kwa mwezi?Ongeza na b12 nae nasikia anarudi clouds
Kikubwa mikataba haijaboreshwa
aisee,Ongeza na b12 nae nasikia anarudi clouds
Riziki hutafutwa popote, hakuna ukigeugeu hapo.Kuna wanaume vigeugeu hadi wanatia mashaka
SahihiRiziki hutafutwa popote, hakuna ukigeugeu hapo.
Wameacha kuhamasiha kamali na kubeti siku nzima?Kwa sasa wasafi unaweza kuisikiliza kuanzia saa kumi na mbil asubuhi mpak saa nane mchana. Alafu pale kwwnye the switch nazima radio alafu akianza baba levo nawasha. Swadakta
Pesa kwanzaKuna wanaume vigeugeu hadi wanatia mashaka
Kwani huyu Kitenge anategemea hizi radio station au ana mambo yake mengine anayoyajuwa yeye mwenyewe?Hii sasa vita ya Efm na Wasafi fm imepitiliza.
Maulidi Kitenge amerudi tena Wasafi fm na Gerald Hando kahamia kwa mara ya kwanza ikiwa nadhani baada ya kufungiwa na Majizo kwa miezi mitatu.
Wanasikika kipindi cha Goodmorning kuanzia leo
Jibu liko wazi, hapo maana yake Hakuna meneja wa vipindi na uzalishaji, na kama yupo unaanza na huyo akatafute kazi sehemu nyingine hawezi kazi.Hiki kipindi Cha asubuhi Cha wasafi ni kijiwe Cha watangazaji.Kuna Zembwela ,Zungu, Charles,Maulid kitenge, Ernest kawawa,Gerald hando na Salma Dakota.
Hapo kulogana lazima ndipo unasikia kwenye ridhiki hapakosi chuki na majungu