Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
niwe mkweli sijui wanalipaje, ila kwa hao watangazaji, kitenge yuko jjuuHivi wasafi wanawalipaje mshahara kwa mwezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niwe mkweli sijui wanalipaje, ila kwa hao watangazaji, kitenge yuko jjuuHivi wasafi wanawalipaje mshahara kwa mwezi?
HahahahaKwa sasa wasafi unaweza kuisikiliza kuanzia saa kumi na mbil asubuhi mpak saa nane mchana. Alafu pale kwwnye the switch nazima radio alafu akianza baba levo nawasha. Swadakta
za chini jamaa anavuta 5m, dida 4mniwe mkweli sijui wanalipaje, ila kwa hao watangazaji, kitenge yuko jjuu
Sijawahi sikiliza wasafi fm kwanza haipatikani huku mikoaniHii sasa vita ya Efm na Wasafi fm imepitiliza.
Maulidi Kitenge amerudi tena Wasafi fm na Gerald Hando kahamia kwa mara ya kwanza ikiwa nadhani baada ya kufungiwa na Majizo kwa miezi mitatu.
Wanasikika kipindi cha Goodmorning kuanzia leo
Na wewe ukaamini uwongo huu? Unadhani wangeangaika na mambo ya Umc wa sherehe?za chini jamaa anavuta 5m, dida 4m
ps: kwa mwezi
Mkuu, basi hamia daslam...🤥Sijawahi sikiliza wasafi fm kwanza haipatikani huku mikoani
CR7 ana $500m lakini anatafuta dalali wa kupangisha nyumba yake kule PortugalUnadhani wangeangaika na mambo ya Umc wa sherehe?
vilainishiNdiyo maana leo sijamsikia Kitenge na Hando kwenye Kunyambulisha ila Jana walikuwepo ,Mbona Ghafla sana?
Kasomee uandishi wa habari mkuu ulambe ndinga na mln 100 ya usajili mshahara mln 6.5 kwa mweziSa itakuaje...🤨
Dazeni na kutoa ndogo anaambulia laki 8. Not fair
Aliwanyea kwani alisema kipi kibaya? Au ni ile account fake?Bdozen sawa kwa wasafi, Kitenge sidhani maana aliwanyea sana alipoondoka wasafi
Ukimaanisha kwamba?Stereo pia improved.. Renovation flan ivi amazing
Bdozen sawa kwa wasafi, Kitenge sidhani maana aliwanyea sana alipoondoka wasafi
Sasa hiyo Signing Fee analipwa nani?
Kwa sasa wasafi unaweza kuisikiliza kuanzia saa kumi na mbil asubuhi mpak saa nane mchana. Alafu pale kwwnye the switch nazima radio alafu akianza baba levo nawasha. Swadakta
Kwani huyu Kitenge anategemea hizi radio station au ana mambo yake mengine anayoyajuwa yeye mwenyewe?
Maana safari za ng'ambo ulaya na Marekani Kitenge anaweza kushindana na Kikwete.
Sidhani hizo redio kama ndio ajira rasmi za Kitenge Mimi nadhani ni cover tu.
Huyo Gerald Hando alimatch sana na Masoud Kipanya, Clouds media is where he deserve, huyo mwingine Oscar Oscar Mimi nimemjulia WhatsApp naona memes zake zinasambaa, sijawahi hata kusikia huwa anatangaza kitu gani.