B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Basi yaonesha Wasafi ilishuka sana hadi wakahitaji booster.

EFM walikosea wapi haijulikani



Clouds kwa mbali yeye anaendelea kuwepo tu, ngoja hawa wavurugane
Walichokosea ni kuleta siasa mwenye media, kumsimamisha Gerald Hando ulikuwa ni upumbavu mtupu.

Ninachojuwa kuhusu Kitenge sidhani kama anaishi kwa kutegemea hizo media, ndio maana anahama anavyojisikia lakini siyo swala la maslahi, huyo jamaa ana mambo yake mengine kabisa.
 
yeah ni kweli, na anahitaji TSh. 25m kila mwezi, pesa ambayo hua anaingiza kila nusu saa

hoja kwangu ni kwamba, kulipwa 6m kwengine , haihusiani kufanya u-mc upande mwengine
Huo mfano wala hajui, ukiona mtu ana nyumba ya kuishi barabarani halafu anaweka fremu elewa tu huyo ni matatizo ya Ki pesa ndio yanamlazimu. Rinaldo hiyo ni asset alishatega, siyo atoke kucheza mpira aende kucheza show hotelini.

Mimi nyumba yangu iko mtaani kabisa na mtaa umechangamka lakini sitaki hadithi za kuweka fremu kwenye residence.

Commercial property ni commercial property na residence ni residence tu.
 
Huo mfano wala hajui, ukiona mtu ana nyumba ya kuishi barabarani halafu anaweka fremu elewa tu huyo ni matatizo ya Ki pesa ndio yanamlazimu. Rinaldo hiyo ni asset alishatega, siyo atoke kucheza mpira aende kucheza show hotelini.

Mimi nyumba yangu iko mtaani kabisa na mtaa umechangamka lakini sitaki hadithi za kuweka fremu kwenye residence.

Commercial property ni commercial property na residence ni residence tu.
hoja ni kwamba kwanini unakataa hao jamaa hawawezi lipwa 5m kwa mwezi ?
 
Hizi radio zijifunze kwa UFM, unagroom watangazaji wako, unaweka creative team ambayo ndo itaamua vipindi viwe vya style gani, itawasave sana pesa

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
UFM unamuongelea Bakhressa hapo ujuwe.

Mmiliki wa EFM ni DJ tu, siku si nyingi alikuwa anabeba maspika tu, tena kwenye nchi za kufuatiliana angejieleza ukwasi huo ameupata wapi ghafla hivi?
 
Walichokosea ni kuleta siasa mwenye media, kumsimamisha Gerald Hando ulikuwa ni upumbavu mtupu.

Ninachojuwa kuhusu Kitenge sidhani kama anaishi kwa kutegemea hizo media, ndio maana anahama anavyojisikia lakini siyo swala la maslahi, huyo jamaa ana mambo yake mengine kabisa.
Kweli na kwa sasa sidhani kama wanaweka mikataba mirefu maana inawafunga.
Pia watangazaji wengi kwa sasa wataka uhuru wa kuendeleza au kumiliki kazi zao za kibunifu
 
hoja ni kwamba kwanini unakataa hao jamaa hawawezi lipwa 5m kwa mwezi ?
Kwa sababu najuwa mishahara ya redio station.

Redio Free Africa na Sahara media kwa ujumla wao ndio wamesahau kabisa hata kama kuna kitu kinaitwa mishahara.

Labda unadhani kwa nini hawa watu wa Media wakiteuliwa kuwa DC huwa hawakatai?
 
Kweli na kwa sasa sidhani kama wanaweka mikataba mirefu maana inawafunga.
Pia watangazaji wengi kwa sasa wataka uhuru wa kuendeleza au kumiliki kazi zao za kibunifu
Hakuna mkataba wa kazi unaomfunga mtu, formula ni ileile kama unaondoka kabla ya kumaliza mkataba unatowa notice ya mwezi mmoja na kusurender mshahara wa mwezi huo, au unamlipa cash muajili wako na kuondoka immediately.

Hakuna yeyote anayebanwa na mkataba, hayo mambo yapo kwa wasanii na wachezaji mpira huko ndio wanabanwa na mikataba kutoka na huko kuna uwekezaji unafanywa kwa mtu binafsi.
 
kuwa DC huwa hawakatai?
sababu ya marupurupu

Maulid Kitenge wa sasa mshahara wake hauwezi kua sawa na yule wa zamani wa ITV
Maulid Kitenge mshahara wake pale EFM hauwezikua sawa na wa Swebe , japo wote ni watangazaji
mshahara wa Dina Marios siyo sawa na wa Dr. Kumbuka japo wapo kwenye kipindi kimoja hapo hapo EFM
 
Back
Top Bottom