EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Mikataba mibovu.Ndiyo maana leo sijamsikia Kitenge na Hando kwenye Kunyambulisha ila Jana walikuwepo ,Mbona Ghafla sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikataba mibovu.Ndiyo maana leo sijamsikia Kitenge na Hando kwenye Kunyambulisha ila Jana walikuwepo ,Mbona Ghafla sana?
Mbona morrison alikuwa kama kidoti kwa nyodo ila leo yu wap si yanga ....mchawi ni pesa banduguBdozen sawa kwa wasafi, Kitenge sidhani maana aliwanyea sana alipoondoka wasafi
Hao sio "maprofesa wengi" katika vyuo kama ulivyoainisha kabla.
- Kwa hiyo, unataka kusema Vice chancellor na DVC wa Udsm, Mzumbe,udom,muhas,hwapati hizo?
- maprofesa wakuu wa Vyuo kama IFM,NIT,CBE,TIA unataka kusema hawafiki 6m?
Wazee wamepiga 24 Hours notice !Mikataba mibovu.
Ahahahahahah daahUsidanganyike utakuja
Mimi pia namuonaga tu kwenye memes[emoji81][emoji81]Kwani huyu Kitenge anategemea hizi radio station au ana mambo yake mengine anayoyajuwa yeye mwenyewe?
Maana safari za ng'ambo ulaya na Marekani Kitenge anaweza kushindana na Kikwete.
Sidhani hizo redio kama ndio ajira rasmi za Kitenge Mimi nadhani ni cover tu.
Huyo Gerald Hando alimatch sana na Masoud Kipanya, Clouds media is where he deserve, huyo mwingine Oscar Oscar Mimi nimemjulia WhatsApp naona memes zake zinasambaa, sijawahi hata kusikia huwa anatangaza kitu gani.
Kwa hiyo unataka kusema professor analipwa 3m?Hao sio "maprofesa wengi" katika vyuo kama ulivyoainisha kabla.
Hela yoyote ya ziada watakayolipwa hao uliowataja kutokana na vyeo vyao ni kutokana na hiyo administrative appointment na sio uprofesa wao na hizo nafasi hazizidi 3 kwa chuo (VC, DVC Academic, na DVC Administrative)
maprofesa wengi vyuoni ni academic members tu wa department na mshahara wao haufiki huko !
Na siku nyingine ukimtaka anakuja kwa njia hiyo hiyo kufatwa na rangeHii biashara ya media nayo pasua kichwa[emoji119][emoji119][emoji119]... Unaamka tu asubuhi unasikia mtangazaji wako anaongea kwenye media nyingine..
Yaani wakionyeshwa kibunda tu...shwaaaahNa siku nyingine ukimtaka anakuja kwa njia hiyo hiyo kufatwa na range
Inakubalika kisheria, unamlipa muajili cash, au kama tarehe imefika hupokei mshahara unatowa notice simple kabisa.Wazee wamepiga 24 Hours notice !
Kijiwe chetu cha Kahawa kinasema MAULID ni Shushushu🤣Walichokosea ni kuleta siasa mwenye media, kumsimamisha Gerald Hando ulikuwa ni upumbavu mtupu.
Ninachojuwa kuhusu Kitenge sidhani kama anaishi kwa kutegemea hizo media, ndio maana anahama anavyojisikia lakini siyo swala la maslahi, huyo jamaa ana mambo yake mengine kabisa.
Academic ground yake haimpi nafasi ya kuwa senior kama kina Benard Membe.Kingwendu alisoma nyakati mapema
Hizi signing fees ni ulongo 🤣🤣🤣Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.
Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.
Gerald Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.
Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.
Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.