cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na anawahadaa kweli kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika mind games basi Majizo ameweza kuwahadaa watanzania wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anawahadaa kweli kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika mind games basi Majizo ameweza kuwahadaa watanzania wengi
Tayari yuko Wasafi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bdozen sawa kwa wasafi, Kitenge sidhani maana aliwanyea sana alipoondoka wasafi
Kawaida yaoHahaha kama vile usajili wa mpira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitenge na Gelard Hando kuhama hama tumewazoea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] laki 8 km mfanya kazi, je huduma na mahitaji anayopewa km mke???Dazeni na kutoa ndogo anaambulia laki 8. Not fair
Hando lakin alivumilia Sana ishu kumsimamisha kaz ilileta Sana shida kwake na ukizingatia alikuwa anasimamia weledi wa kaziHahaha kama vile usajili wa mpira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitenge na Gelard Hando kuhama hama tumewazoea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii biashara ya media nayo pasua kichwa[emoji119][emoji119][emoji119]... Unaamka tu asubuhi unasikia mtangazaji wako anaongea kwenye media nyingine..
Kwani hakuna kuachana kwenye ndoa jaman? Huyu anatoka sababu mama ubaya ana gubu mnoo.Huyo 12 anamkimbia mme wake kulikoni [emoji23][emoji23] hii bongo bwana
[emoji23][emoji23]Kitu pekee hamjatizama ambacho nimekiona ni kiini macho kwa watizamaji na wasikilizaji wa hivyo vituo ,mabos wanakaa mezani wanawaza wafanye nini ili wasikilizaji na watizamaji waongezeke , wazungumziwe zadi wawe top kwenye biashara yao , njia wanayoiona ndio hii ,, na wamefanikiwa mana fb ,jf ,insta na mitandao mingine mingi wanawazungumzia wasafi na efm tangu jana usiku , wafuasi wao watataka kujua zaidi wanaenda kuendesha vipindi gani huko , mabos wanapiga hela ndefu wanagonga cheers maisha yanasonga fresh ,kisha tunawaita freemason kwa akili yao kubwa
Wee muongo sanaa, kawadanganye FB huko, sio hapa JF.Acha upuuzi kitenge EFM alikua anakula 16M
Acheni fix,..mtangazaji gani analipwa mil.6.5 Tanzania..
Kwahiyo dozen ameamua kusarenda adi mume?ila mama ubaya mtata kweli umeona vita yake na mange leo?mange kasema mama ubaya na mmewe wana ukimwi,mama ubaya akamwambia wapime live afu wagawane faida ila mange akamjibu kwasababu ameshatumia dawa mda mrefu kipimo kitasoma negative,kunawaka moto huko insta leo! kwa utata ule wa mama ubaya dozen lazima abwage manyanga🤣🤣🤣🤣Kwani hakuna kuachana kwenye ndoa jaman? Huyu anatoka sababu mama ubaya ana gubu mnoo.
Uke wenzaa mchezoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama ubaya wa mchezo?? Anavyojibu mashabiki insta ndo nachokaa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo dozen ameamua kusarenda adi mume?ila mama ubaya mtata kweli umeona vita yake na mange leo?mange kasema mama ubaya na mmewe wana ukimwi,mama ubaya akamwambia wapime live afu wagawane faida ila mange akamjibu kwasababu ameshatumia dawa mda mrefu kipimo kitasoma negative,kunawaka moto huko insta leo! kwa utata ule wa mama ubaya dozen lazima abwage manyanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeh umefika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani hakuna kuachana kwenye ndoa jaman? Huyu anatoka sababu mama ubaya ana gubu mnoo.
Uke wenzaa mchezoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mama ubaya kazi anayoMama ubaya wa mchezo?? Anavyojibu mashabiki insta ndo nachokaa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dozen hamuwezi mama ubayaa, na alivyo mpolee bora akimbieee, ila hawaachani Dozen na Baba G, wametoka mbalii mnoo.
Huu ndio ukweli wenyewe haswaBasi yaonesha Wasafi ilishuka sana hadi wakahitaji booster.
EFM walikosea wapi haijulikani
Clouds kwa mbali yeye anaendelea kuwepo tu, ngoja hawa wavurugane
Hakuna ugomvi hapo wanajuana haoHuu ni ugomvi mpya mjini kati ya mondi na majizo
[emoji23][emoji23]Nilishakaa karibu na watangazaji wa RFA na kiss .Bwiru place -Mwanza walikuwa na njaaa ya hatari wangeweza kula hata magodoro.
Dah Mimi nimeshangaa 6.5m ?? Let's be seriousUngekuwa unajua mishahara ya watangazaji usingeandika hivi
Ni kati ya 3.8M - 4.8M kutegemea na rank Associate professor - Full professor. Maprofesa ambao utawaona wapo vizuri kiuchumi huwa hawategemei mishahara sana utakuta ni miradi na tafiti hizo ndio huwa zinawaletea mpunga mrefu, wakikosa hizo au wakichoka ndio utawaona wanakimbilia kwenye siasa.Kwa hiyo unataka kusema professor analipwa 3m?