B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.

Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.

Gerald Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.

Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.

Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.
Mishahara na marupurupu manono!! Kama ni kweli wanalipwa hivyo ni jambo jema sana. Vinginevyo ni promo kama promo zingine.
 
  • Kwa hiyo, unataka kusema Vice chancellor na DVC wa Udsm, Mzumbe,udom,muhas,hwapati hizo?
  • maprofesa wakuu wa Vyuo kama IFM,NIT,CBE,TIA unataka kusema hawafiki 6m?
Kuna mishahara ya wakuu wa taasisi na idara.

Hio hai apply kwa Kila prof.

Unaweza kuwa professor na still ukawa huna cheo chochote utalamba zile zile PUTS X.1

Ambazo sidhanoi kama zinazidi 6m kwa full professor.

Ukiwa mkuu wa idara, dear, director, DvC au VC ndio Kuna marupurupu mengi.

Otherwise kule ni jalalalani tu njali elimu kubwa.
 
Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.

Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.

Gerald Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.

Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.

Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.
SAS unavyosema Seema saini fee kwani huyu mfutabangi Oscar Oscar Ana nn so special sna kutaka kupewa peza zote hzo

Ok kwa kitenge kuja kusoma magazeti kwa kupayuka payuka ndio alipiwe range Rover huu Ni uongo na ndoto za asbh snaa
 
Wakati tunajadili mishahara ya hawa watu tusisahau yafuatayo especially kwa hizi Urban Radios.

1. Approach vs Approached: Miaka ya nyuma nilikuwa nafanyia taasisi moja ya kifedha.

Sasa sijui ilikuwa ni uhaba wa Competitive Bankers au vipi lakini miaka ile haikuwa ajabu Staff wa Bank X kuwa approached na Bank Y kwamba ukafanye kazi kwao!

Ukishakuwa approached namna hii, unaahidiwa mambo mazuri including MSHAHARA NA BENEFITS.

So, kwenye media hapa Bongo, kuna layer fulani ya Watangazaji ambao mara nyingi wanakuwa approached na media zingine! Watu kama akina Kitenge, Edo Kumwembe, and the like huwa wanakuwa approached kujiunga na media fulani.

Hao wanalipwa vizuri sana!

2. Hao Watangazaji wanakuwa approached kwa sababu wana uwezo wa Kuvutia Advertisers kutokana na influence yao.

Kutokana na hilo, hao watu ni Mtaji Mzuri sana kwa redio. Aidha, kutokana na influence yao pia wanakuwa na fursa ya kuwa na connection na watu mbalimbali.

Connection hizi sio tu zinawasaidia kuleta deal mpya za matangazo kwenye redio bali pia ku-lobby pale ambapo hazipo.

Namba 2 hapo juu inawafanya wawe ni Ng'ombe Mzalisha Maziwa, na hivyo kuendelea kuwa na soko kubwa kwenye soko la ajira za Urban Radio.

3. Hizi media huwa zinatoa kamisheni kwa wale wanaofanikisha kuleta matangazo!

Sasa kwa sifa niliyotaja #2 hapo juu, unakuta mara nyingi wanakuwa miongoni mwa Staff wanaotandika kamisheni za kutosha!

NOTE: Usidhani watangazaji wote wapo sawa! Kama huna sifa nilizotaja hapo juu, na kwahiyo unategemea sana mshahara, basi Utangazji ni Kazi Iliyojaa Njaa!!

Aidha, sio kila mtangazi unayemsikia kwenye redio au kumuona kwenye tv ni Mwajiriwa!

Wapo wengi tu ambao wanapiga deiwaka kwa matarajio sooner or later ama watapata replacement hapo hapo au wataonekana na media zingine na hatimae akalamba ajira!

So, usimuone X aliye Wasafi au EFM analia njaa ndo ukadhani hapo Wasafi au EFM kuna njaa kali kihivyo... unaweza kukuta anapiga Deiwaka tu au ndo wale wasioleta cha ziada kwenye redio!
Umesomeka vzr sna mkubwa
 
Ungekuwa unajua mishahara ya watangazaji usingeandika hivi
Labda watangazaji wa manara TV na Kishki TV ndo wana maisha magumu. Hizo fani siku hizi ni neema kwa vijana kama zali likidondoka na ukakigundua kipaji chako mapema. Media zina pesa sana! Nafahamiana na watangazaji kadhaa na waandishi wa habari... wana maisha mazuri sana! Usikariri na kubebelea kila ukisikiacho.
 
Back
Top Bottom