B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Mishahara na marupurupu manono!! Kama ni kweli wanalipwa hivyo ni jambo jema sana. Vinginevyo ni promo kama promo zingine.
 
  • Kwa hiyo, unataka kusema Vice chancellor na DVC wa Udsm, Mzumbe,udom,muhas,hwapati hizo?
  • maprofesa wakuu wa Vyuo kama IFM,NIT,CBE,TIA unataka kusema hawafiki 6m?
Kuna mishahara ya wakuu wa taasisi na idara.

Hio hai apply kwa Kila prof.

Unaweza kuwa professor na still ukawa huna cheo chochote utalamba zile zile PUTS X.1

Ambazo sidhanoi kama zinazidi 6m kwa full professor.

Ukiwa mkuu wa idara, dear, director, DvC au VC ndio Kuna marupurupu mengi.

Otherwise kule ni jalalalani tu njali elimu kubwa.
 
SAS unavyosema Seema saini fee kwani huyu mfutabangi Oscar Oscar Ana nn so special sna kutaka kupewa peza zote hzo

Ok kwa kitenge kuja kusoma magazeti kwa kupayuka payuka ndio alipiwe range Rover huu Ni uongo na ndoto za asbh snaa
 
Umesomeka vzr sna mkubwa
 
Ungekuwa unajua mishahara ya watangazaji usingeandika hivi
Labda watangazaji wa manara TV na Kishki TV ndo wana maisha magumu. Hizo fani siku hizi ni neema kwa vijana kama zali likidondoka na ukakigundua kipaji chako mapema. Media zina pesa sana! Nafahamiana na watangazaji kadhaa na waandishi wa habari... wana maisha mazuri sana! Usikariri na kubebelea kila ukisikiacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…