Baa ya Kitambaa Cheupe Tabata inaungua moto

Baa ya Kitambaa Cheupe Tabata inaungua moto

Tumepata janga la moto mitaa ya Tabata; nikiwa mitaa hii nimeona tabia ambayo tunapaswa kuukemea.

Wananchi waliopo eneo la tukio hakuna misaada wanayotoa kuzima moto; wote wamewasha camera za simu zao wanakusanya habari.

Zipo nyumba za pembeni nna bar na sometimes wapo watoto ndani, badala wananchi wa Tabata wajikite kufanya uokozi wanapiga picha.

Wananchi hao nipamoja na mimi ambaye badala ya kuendelea kutoa misaada nimeona sina vifaa vya kuokoa hivyo nimebaki kuwaletea habari.

Kazi ya kuokoa siyo ya zima moto ni yetu sote
Shida inaanzia kwa wamiliki pia.

Tajiri Mlokozi anakejeli Wahitimu wa Degree kwamba ni Mbumbumbu kwa sababu hawana hela kama yeye na kwanba hakuna wanachojua.

Anasahau pesa anayoingiz inatokana na wanancachi hao hao.

Hawa matajiri wakishapata wanawaone wenzao hawana maana hawana Mbele wala nyuma.

Sasa mtu kama huyo akiunguliwa utamsaidia vipi?
 
Tumepata janga la moto mitaa ya Tabata; nikiwa mitaa hii nimeona tabia ambayo tunapaswa kuukemea.

Wananchi waliopo eneo la tukio hakuna misaada wanayotoa kuzima moto; wote wamewasha camera za simu zao wanakusanya habari.

Zipo nyumba za pembeni nna bar na sometimes wapo watoto ndani, badala wananchi wa Tabata wajikite kufanya uokozi wanapiga picha.

Wananchi hao nipamoja na mimi ambaye badala ya kuendelea kutoa misaada nimeona sina vifaa vya kuokoa hivyo nimebaki kuwaletea habari.

Kazi ya kuokoa siyo ya zima moto ni yetu sote
Habari bila picha ni umbeya! Tupia kapicha ili tuone!
 
Aisee hii bar🙌, kuna wakati niliingia hapo nililetewa nyonyo nzima nzima ya uso na lishangazi, huku upande wa kushoto na kulia mashangazi mengine yananipapasa kifua na shingoni hapo ni baada ya kuwapa ofa ya shisha na bia mbili mbili, pale ni kiwanda cha kukata nyege na mawakala wa AZUMA ndipo walipoweka kambi
Mawakala wa AZUMA
cc Mshana Jr
😁😁😁
 
Shida inaanzia kwa wamiliki pia.

Tajiri Mlokozi anakejeli Wahitimu wa Degree kwamba ni Mbumbumbu kwa sababu hawana hela kama yeye na kwanba hakuna wanachojua.

Anasahau pesa anayoingiz inatokana na wanancachi hao hao.

Hawa matajiri wakishapata wanawaone wenzao hawana maana hawana Mbele wala nyuma.

Sasa mtu kama huyo akiunguliwa utamsaidia vipi?
Wazee wa nongwa, wewe ni Mzaramo?
 
Kuna mahali inajengwa nyingine.

Pole yake Jesika na wamiliki wenza wengine. Biashara kuungua moto ni mtihani sana.
 
Nainua mkono mama kitambaa cheupe ishara ya mapenzi mama penzi bora.
 
Akonde vipi wakati kaichoma mwenyewe?

Umenikumbusha Idd janguo alivyoichoma Limousine yake.

IJLM.jpg
 
Nipo kwenye gari nimeshindwa kupiga picha ila hali ndio ilivyo kwasasa.

Habari zaidi nini chanzo cha moto ni huko baadae, wahusika wakija kuhojiwa.

View attachment 2913280
Haya mambo yule mchungaji aliyetabiri kifo cha lowasa alitabiri pia akisema slip way,kitambaa cheupe,uwanja wa fisi na liver side anaona kuna majanga yatatokea,juzi liverside kumeungua,haya leo kitambaa duh.
 
Haya mambo yule mchungaji aliyetabiri kifo cha lowasa alitabiri pia akisema slip way,kitambaa cheupe,uwanja wa fisi na liver side anaona kuna majanga yatatokea,juzi liverside kumeungua,haya leo kitambaa duh.
Sio liver side! bali ni River side...hivi shule mlienda kuongeza ukilaza?
 
Back
Top Bottom