Baa ya Kitambaa Cheupe Tabata inaungua moto

Baa ya Kitambaa Cheupe Tabata inaungua moto

Aisee hii bar[emoji119], kuna wakati niliingia hapo nililetewa nyonyo nzima nzima ya uso na lishangazi, huku upande wa kushoto na kulia mashangazi mengine yananipapasa kifua na shingoni hapo ni baada ya kuwapa ofa ya shisha na bia mbili mbili, pale ni kiwanda cha kukata nyege na mawakala wa AZUMA ndipo walipoweka kambi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo nyaya sasa,siku tuko bize na kimpododo changu cha uswazi huko tbt tunasubiri daladala bima duh hapo pembeni kuna transfoma.
Si likalipuka,dah binti kaenda upande wake mi wangu tunapiga mbio.
Ilibidi tu aseme mi niko
home liwiti njoo nje tena sitoki.
Papuchi ina sumaku sijui hata nilifikaje huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom