Kwahio dogo unaniambia watu wanaojitambua hawanywi balimi ya elfu Moja? Au hawakai sehem za low standard panapouzwa balimi na bia zingine za Bei ndogo,,Kwaio kwako wewe mtu wa maana kwako ni yule anayekunywa kinywaji Cha kuanzia milioni 1..kwa Mana hio kupitia koment yako umetudhibitishia kwamba wewe ni CHAWA..Watu wanaojitambua watu wenye maono watu wanaopenda kuishi vizuri.
Kuna sehemu za low standards na kuna sehemu za hovyo. Siwezi kaa sehemu watu wanakula ugolo never bora ninywee home kwangu au dukani kwa mangiKwahio dogo unaniambia watu wanaojitambua hawanywi balimi ya elfu Moja? Au hawakai sehem za low standard panapouzwa balimi na bia zingine za Bei ndogo,,Kwaio kwako wewe mtu wa maana kwako ni yule anayekunywa kinywaji Cha kuanzia milioni 1..kwa Mana hio kupitia koment yako umetudhibitishia kwamba wewe ni CHAWA..
Bia sh. Ngapi?Yes ni place ya watu classic hakuna mademu waomba nauli inaitwa Link ipo masaki baada ya IST school kuna supermarket inaitwa jambo ipo mkabala.
Ni expensive place lakini utatengeneza connection za maana utaagana na wanaoshinda mtandaon wanamtukana Mondi
Tatizo la humu jf watu wengi hawaandiki uhalisia wao. Unaweza kuta wewe ni mgogo au Muha imeingia town juzi, umepanga Sinza Basi unajiona mataaawi. Binafsi nimekulia Magomeni, viwanja vyoote vikali unavyovijua Dar nimepitia. Ila home is bestest.Kila mtu anakuwa comfortable kwenye circle anayofanana nayo. Binafsi siwezi kwenda kula bata sehemu zako hizo heri nikae kitaa grocery kwa mangi kuliko kwenda uko watu wakilewa wanarusha chupa watu wananuka jua. Huwezi kutana na mtu akakwambia ofisi yetu tunahitaji digital marketing consultant hao mabaa medi kwanza ni majambazi na wengi hawana riziki unakaribisha zohar tu.
Itakuwa kwa mkwere pale darajani, panafaa sana kwa sisi tunaokunywa bia kwa bei elekezi.Manzese sehemu gani hiyo mzee?
Acha niwe mgogo au muha ila bar za manzese hapana mkuu siwezi, wewe unainjoi kuwanawa mabaamedi ila mimi naona ndio ushamba sasa. Nenda place zinazoheshimu watu ni marufuku bartender kushikwa na mteja hata kukaa mezani na mteja ni kosa kubwa lakini kama wewe unainjoi kuwaingiza vidole wadada wa bar ndio sterehe yako mimi naona sawa endelea kuinjoi mimi tukutane the link watu hawanuki nguvuTatizo la humu jf watu wengi hawaandiki uhalisia wao. Unaweza kuta wewe ni mgogo au Muha imeingia town juzi, umepanga Sinza Basi unajiona mataaawi. Binafsi nimekulia Magomeni, viwanja vyoote vikali unavyovijua Dar nimepitia. Ila home is bestest.
kama huwezi kutumia M3 usiku mmoja kama hapo kwa mendez wewe bado una pesa za mawazo.Pesa ya mawazo ni kuanzia sh ngapi mkuu!
Yes ni place ya watu classic hakuna mademu waomba nauli inaitwa Link ipo masaki baada ya IST school kuna supermarket inaitwa jambo ipo mkabala.
Ni expensive place lakini utatengeneza connection za maana utaagana na wanaoshinda mtandaon wanamtukana Mondi
Nefaland HotelManzese sehemu gani hiyo mzee?
Yes ni place ya watu classic hakuna mademu waomba nauli inaitwa Link ipo masaki baada ya IST school kuna supermarket inaitwa jambo ipo mkabala.
Ni expensive place lakini utatengeneza connection za maana utaagana na wanaoshinda mtandaon wanamtukana Mondi
Wewe ni slaveLazima sponsor atajwe 🤣🤣
🤣🤣baa ya wadangaji type z mobeto,wauza mikunduuh Kama jumalokole na wauza sembe🤣🤣Yes ni place ya watu classic hakuna mademu waomba nauli inaitwa Link ipo masaki baada ya IST school kuna supermarket inaitwa jambo ipo mkabala.
Ni expensive place lakini utatengeneza connection za maana utaagana na wanaoshinda mtandaon wanamtukana Mondi
NgadaMbwembwe tu eti unatengeneza connection 😄
Ova
Dah nilimlimsikia eti kuna pombe ya million 40 khaaaNasikia huyu jamaa kafungua baa mjini Dar, ambayo ina vinywaji vya hatari, anayeijua aniarifu inaitwaje na ipo mtaa gani
Huko ndiko dogo sinza pazuri anapenda kwenda kwa masponsa wakeDah nilimlimsikia eti kuna pombe ya million 40 khaaa
Hivi huko bado kuna viwanja vinauzwa? au wanakodishaYes ni place ya watu classic hakuna mademu waomba nauli inaitwa Link ipo masaki baada ya IST school kuna supermarket inaitwa jambo ipo mkabala.
Ni expensive place lakini utatengeneza connection za maana utaagana na wanaoshinda mtandaon wanamtukana Mondi
Tatizo la humu jf watu wengi hawaandiki uhalisia wao. Unaweza kuta wewe ni mgogo au Muha imeingia town juzi, umepanga Sinza Basi unajiona mataaawi. Binafsi nimekulia Magomeni, viwanja vyoote vikali unavyovijua Dar nimepitia. Ila home is bestest.
Hao Ni watani zangu na wenyewe wanajua.Hii comment imeniuma sana
Ww jamaa hujaona makabila mengine adi useme hayo makabila