Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
Niliambiwa laki 7..Maji madogo laki ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliambiwa laki 7..Maji madogo laki ngapi?
Hayo ni maji ama damu ya mtu?![emoji848]Niliambiwa laki 7..
Ndio Happo Sasa..bia milioni na nusu..Kuna pombe flan milioni 54....mshikaki mmoja laki 3Hayo ni maji ama damu ya mtu?![emoji848]
Bro wako hakuambii tu ukweli kuwa ni mbahili maana kubeba box sio shghuli ya kitoto ajibane mbele huko aje kutumia huku kizembe huyo anazuga kuwa akiwa kisuma ndio mpango mzima na mnakesha anakuzuga bro wako ila ukweli ni kwamba hapendi utani na hela yakeBro wangu kila akija dar kunitembelea akitoka zake mamtoni huwaga natamba kua nampeleka kiwanja kipya kikali. Ila kila tukifika anakaa muda mfupi tu na hawi interested na ananiambia twenzetu kisuma, ama sweet corner.
Huko sasa ndio tunakeshq hadi majogoo.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Anapelekwa sehemu bia moja elf 80 awe na furaha itoke wapi?.Bro wako hakuambii tu ukweli kuwa ni mbahili maana kubeba box sio shghuli ya kitoto ajibane mbele huko aje kutumia huku kizembe huyo anazuga kuwa akiwa kisuma ndio mpango mzima na mnakesha anakuzuga bro wako ila ukweli ni kwamba hapendi utani na hela yake
mkuu sehemu kama ile ukinywa hawasemi umelewa wanasema umechoka unaenda kupumzika huku kwengine kwa balimi za buku ndipo watu husema jamaa kalewa.. mwishoe hulala hata mtaroniUnaenda kulewa