Baaada yakupata mtoto mke wangu havutiwi tena na kufanya mapenzi

We mwamba sana,nimetake notes
 
Ni ngumu kumnywesha ng'ombe maji:
 
Kuchepuka kipaji,Mimi juzi nimetoka chepuka jioni saa kumi na Moja nikarudi kwangu,banaa si kumbe Ganda la kondome lilidondokea kwenye viatu mi nikavaa bila kujua.

Nimefika home mke na watoto wapo nikavua viatu mlangoni nikaviacha,nusu saa natoka nivipitie kucheki ndani ya viatu Kuna Ganda la Ile kondome used,mke watoto wamepita hapo mlangoni kama mara 5 ivii kha!!

Banaa weee,nikakazaa nikavivaaa,mpaka Leo sielewi kama alisanuka maana hajanambia chochote na yupo in good mood,ilaa nusura niaibikee mzee mzima.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sema
Amina
Mungu bado anaipenda ndoa Yenu
 
🤣🤣🤣🤣 eti napenda BW
Hivi unafikiri kuna raha tunaipata kwenye hiyo BW?? Mi sipendi kabisa huyo mkeo atakuwa pacha wangu aisee!!
Nna kinyaa, nawashangaa hata hao wanaowafanyia hivo.. utakuta mwenzi wako katoka kufokoa mtaro uko kwa kina Asha jibwa alafu anakwambia hivo ptyuuuu 🤮🤮🤮🤮
 
Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili.

1. Mtoto ana umri gani?

2. Kuna mabadiliko yeyote wewe uliyonayo kwa sasa tofauti na wakati wa uchumba wenu?

3. Je, nje ya sex ninyi ni marafiki mlioshibana ambao mnaweza mkakaa na kupiga stori, kupanga mipango pamoja n.k? Hapa itakusaidia kujua kama mna connect au mpo pamoja kwa sababu mmeoana tu?
 
Unatakiwa kuwa makini na nguo zako ukitoka kuchepuka ili usiache alama😂 af mimi Eva huwa ana hisia kali saingine anaota kabisa ikiwa nimeanza kuhang out na sidechicks.
 
Ni ngumu kumnywesha ng'ombe maji:
Mimi nilikua sijui maana ya BJ lakini nimeifahamu baada ya kusoma some ppls comments, katika Hilo la kumnywesha ng'ombe maji me mwenyewe sikubaliani nae na Sio vizuri kumlazimisha MKE katika mambo kama haya nililolimaanisha hapa kwa ukubwa ni kitendo cha mke kumnyima mme tendo la NDOA hi haifai na ni HATARI kwa NDOA

b'se mwanamke ni mlinzi wa mwanaume katika kila Jambo na moja ya jambo ni hili. 👉wanaume tumeumbiwa tamaa Kwaiyo ni jukumu la mke kuhakikisha anaikata hiyo tamaa kwa kumtimizia mme wake haja ya tendo la NDOA kikamilifu ili kuilinda NDOA yake kwa maana kumlinda mme asitoke nje ya NDOA
 
Ndio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".

Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way[emoji23].

Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
We Mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…