Baada kusumbuliwa na Hamas kwa miaka 1400, India yasema sasa ni zamu ya Israel

Baada kusumbuliwa na Hamas kwa miaka 1400, India yasema sasa ni zamu ya Israel

Dini ya amani "mungu wao kaagiza waue watu wote wasio muabudu"!
Ni wakati si india pekee bali nchi za Ulaya na marekani kuwarudisha hawa jamaa, unamkaribisha kwenye kochi anainia chumbani na mabango yaya mungu wao muuaji.

1709116967822.jpeg
 
Ni mfano na kielelezo kinachomhusu Yesu ambaye aliondoka duniani ili kungojea kuwekwa kwake kuwa Mfalme wa wafalme. Atakaporudi atatoa hukumu dhidi ya wale walioukataa utawala wake na kung'ang'ania tawala (serikali) za wanadamu badala yake.
Maneno hayo unayapata kwenye injili ya Jaji Mfawidhi , aya ya ngapi ??
 
Ni mfano na kielelezo kinachomhusu Yesu ambaye aliondoka duniani ili kungojea kuwekwa kwake kuwa Mfalme wa wafalme. Atakaporudi atatoa hukumu dhidi ya wale walioukataa utawala wake na kung'ang'ania tawala (serikali) za wanadamu badala yake.


Judge Jesus Won't Judge! Attorneys panic


"For the Father judgeth no man, but hath committed all judgment unto the Son."
– John 5.22.


"And Jesus said, For judgment I am come into this world." – John 9.39.


"I judge no man." – John 8.15.


"I came not to judge the world, but to save the world." – John 12.47.


"Judge not, and ye shall not be judged." – Luke 6.37.
 
kaondoka yeye kawaacha waislam wanakunya juisi
Aiseee
na kusambaa uislam hadi America.
Huwezi ukaingia Amerika na Ulaya halafu ukaendelea kuwa Muislam. Huko Uarabuni, serikali inafuata sheria ya dini, dini inaisgiza serikali ma serikali inahakikisha dini inalindwa na kufuatwa.
Uislam wa Ulaya na Amerika huko Uislam unafuata sheria za nchi, uislam unafuata maagizo ya serikali, uidlam unatakiwa kupigania nchi hizo not otherwise.
 
Aiseee

Huwezi ukaingia Amerika na Ulaya halafu ukaendelea kuwa Muislam. Huko Uarabuni seriksli inafuata sheria ya dini, dini insiagiza serikali. Uislam wa Ulaya na Amerika Uislam unafuata sheria za nchi, uislam unafuata maagizo ya serikali.
Dah..wewe mwehu kweli. Gwaji boy kashaharibu ubongo wako
 
Kafiri naona umeamka na uislam tu. Alikuwepo Farau akichinja watoto kila anaezaliwa..lkn kaondoka yeye kawaacha waislam wanakunya juisi na kusambaa uislam hadi America. Kwa hivyo na wewe utauacha uislam mpaka ndugu zako wataingia uislam
yap, farao nakumbuka alichinja watoto wa kiyahudi, ila sio wamisri. Musa alikuwa mmojawapo ya waliotakiwa kuchinjwa. kumbukumbu nzuri hii.
 
Judge Jesus Won't Judge! Attorneys panic


"For the Father judgeth no man, but hath committed all judgment unto the Son."
– John 5.22.


"And Jesus said, For judgment I am come into this world." – John 9.39.


"I judge no man." – John 8.15.


"I came not to judge the world, but to save the world." – John 12.47.


"Judge not, and ye shall not be judged." – Luke 6.37.
naona umeokota aandiko huko gugo lakini hujaelezea chochote, mimi nimwelezea.
Usisome Biblia kwa kuokoteza andiko moja bila kujua konteksti.

Yesu alibariki maji kuwa mvinyo, sijui walokole/Walio okolewa na Yesu nao wanywe pombe?
 
Maneno hayo unayapata kwenye injili ya Jaji Mfawidhi , aya ya ngapi ??
Ushapaniki, wewe utkuwa ni wale mnasome Biblia/ Liturujia, hakuna kutafakari neno wala kujifunza zaidi.
Mmmewaachia masadukayo na mafarisayo wawatafsirie.
Mnatumia misale na hamsomi neno.
mmewekewa kalenda ya neno mwaka mzima na mnachaguliwa neno la kusoma.
 
naona umeokota aandiko huko gugo lakini hujaelezea chochote, mimi nimwelezea.
Usisome Biblia kwa kuokoteza andiko moja bila kujua konteksti.

Yesu alibariki maji kuwa mvinyo, sijui walokole/Walio okolewa na Yesu nao wanywe pombe?

Huyo atayehukumu nani na huku Yesu anakataa kuhukumu ??

Yesu hajabariki aligeuza maji kuwa mvinyo , wala hakuna ushahidi kuna mtu alilewa kwa kunywa mvinyo ile.

Tukumbuke ukweli huu kwamba neno [mvinyo] halibebi maana moja kwa moja [katika kamusi] ya kinywaji chenye kileo, ni dhahiri zaidi linatumika kwa juisi. Tukiangalia suala hilo zaidi tunaona kwamba neno [pombe] linamaanisha:

al·co·hol (²l"k.-hôl", -h¼l") n.

1. Abbr. al., alc. Kioevu kisicho na rangi, tete na kinachoweza kuwaka, C2H5OH, kilichounganishwa au kupatikana kwa uchachushaji wa sukari na wanga na kwa wingi. kutumika, ama safi au denatured, kama kutengenezea na katika madawa ya kulevya, miyeyusho ya kusafisha, vilipuzi na vileo, Pia huitwa ethanol, pombe ya ethyl, pombe ya nafaka

2. Kileo chenye kileo

3. Chochote kati ya mfululizo wa misombo ya hidroksili, ambayo rahisi zaidi yametokana na hidrokaboni zilizojaa, yana fomula ya jumla CnH2n+1OH, na inajumuisha ethanoli na methanoli [Kilatini cha Zama za Kati, unga laini wa metali, hasa wa antimoni, kutoka Kiarabu al-ku¡l : al, the + ku¡ l, poda ya antimoni.]
 
Huyo atayehukumu nani na huku Yesu anakataa kuhukumu ??

Yesu hajabariki aligeuza maji kuwa mvinyo , wala hakuna ushahidi kuna mtu alilewa kwa kunywa mvinyo ile.

Tukumbuke ukweli huu kwamba neno [mvinyo] halibebi maana moja kwa moja [katika kamusi] ya kinywaji chenye kileo, ni dhahiri zaidi linatumika kwa juisi. Tukiangalia suala hilo zaidi tunaona kwamba neno [pombe] linamaanisha:

al·co·hol (²l"k.-hôl", -h¼l") n.

1. Abbr. al., alc. Kioevu kisicho na rangi, tete na kinachoweza kuwaka, C2H5OH, kilichounganishwa au kupatikana kwa uchachushaji wa sukari na wanga na kwa wingi. kutumika, ama safi au denatured, kama kutengenezea na katika madawa ya kulevya, miyeyusho ya kusafisha, vilipuzi na vileo, Pia huitwa ethanol, pombe ya ethyl, pombe ya nafaka

2. Kileo chenye kileo

3. Chochote kati ya mfululizo wa misombo ya hidroksili, ambayo rahisi zaidi yametokana na hidrokaboni zilizojaa, yana fomula ya jumla CnH2n+1OH, na inajumuisha ethanoli na methanoli [Kilatini cha Zama za Kati, unga laini wa metali, hasa wa antimoni, kutoka Kiarabu al-ku¡l : al, the + ku¡ l, poda ya antimoni.]
Unaokoteza vitabu vya mtandaoni kujadili habari za Yesu Kristo mnazareti?
Huji kuna watu mpaka biblia wameichakachua na zipo mitandaoni, ant christ?
Nenda kwa Kakobe ukatolewe pepo lililokamata ufahamu wako.
 
Ushapaniki, wewe utkuwa ni wale mnasome Biblia/ Liturujia, hakuna kutafakari neno wala kujifunza zaidi.
Mmmewaachia masadukayo na mafarisayo wawatafsirie.
Mnatumia misale na hamsomi neno.
mmewekewa kalenda ya neno mwaka mzima na mnachaguliwa neno la kusoma.

Ndiyo maana tukapata madhehebu ya kikristo zaidi ya 100 000 kwa kupata watafsiri wengi tofauti , kama wewe mnaotafsiri kila mmoja kwa akili yake
 
Ndiyo maana tukapata madhehebu ya kikristo zaidi ya 100 000 kwa kupata watafsiri wengi tofauti , kama wewe mnaotafsiri kila mmoja kwa akili yake
Tafsiri mtu anaamua ama uvuvio wa roho mtakatifu?
Wewe unataka kutafisir Biblia kama unavyotafsiri kauli za Makonda?
 
Tafsiri mtu anaamua ama uvuvio wa roho mtakatifu?
Wewe unataka kutafisir Biblia kama unavyotafsiri kauli za Makonda?

Kwa hivyo kumbe roho Mtakatifu huwaongoza watu kitofauti kutafsiri biblia , maana tuna madhehebu mengi sana na kila dhehebu linaenda kivyake, na linajiona liko sawa na wengine wako wrong na wote wanadai wanaongozwa na Roho Mtakatifu ,

Yupi mkweli ??

Hayupo hata mmoja

Yesu alisema katika Mathayo 7:21-23;

"Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku hiyo, Bwana, Bwana, je! alitabiri kwa jina lako? na kwa jina lako kutoa pepo? Na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia, sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu."

Kwa maneno mengine, Yesu anasema, si kwa kuniita Bwana ndipo utaingia katika Ufalme wa Mbinguni bali kwa kutii mapenzi ya Mungu wa Mbinguni (Kutoka 20).

Yesu hakusema, ni lazima unipokee kama Bwana na mwokozi wako kabla ya kuingia katika Ufalme wa Mbinguni, kwa hiyo kwa nini Paulo atuambie tofauti nasi tutamwamini?

Kutii Mapenzi ya Mungu ni kushika amri za Mungu zinazopatikana katika Kutoka 20.

Na Kutoka 20:3 inasema, "Usiabudu miungu mingine ila mimi."

Hata hivyo, Wakristo wanasema Baba ni Mungu, Mwana ni Mungu na Roho Mtakatifu ni Mungu;

unazishika amri?
 
Kwa hivyo kumbe roho Mtakatifu huwaongoza watu kitofauti kutafsiri biblia , maana tuna madhehebu mengi sana na kila dhehebu linaenda kivyake, na linajiona liko sawa na wengine wako wrong na wote wanadai wanaongozwa na Roho Mtakatifu ,

Yupi mkweli ??

Hayupo hata mmoja

Yesu alisema katika Mathayo 7:21-23;

"Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku hiyo, Bwana, Bwana, je! alitabiri kwa jina lako? na kwa jina lako kutoa pepo? Na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia, sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu."

Kwa maneno mengine, Yesu anasema, si kwa kuniita Bwana ndipo utaingia katika Ufalme wa Mbinguni bali kwa kutii mapenzi ya Mungu wa Mbinguni (Kutoka 20).

Yesu hakusema, ni lazima unipokee kama Bwana na mwokozi wako kabla ya kuingia katika Ufalme wa Mbinguni, kwa hiyo kwa nini Paulo atuambie tofauti nasi tutamwamini?

Kutii Mapenzi ya Mungu ni kushika amri za Mungu zinazopatikana katika Kutoka 20.

Na Kutoka 20:3 inasema, "Usiabudu miungu mingine ila mimi."

Hata hivyo, Wakristo wanasema Baba ni Mungu, Mwana ni Mungu na Roho Mtakatifu ni Mungu;

unazishika amri?
Nani kakwambia madhehebu yaona yapo sawa na mengine yapo wrong?
Wacha kujilisha upepo wa vumbi!

Dhehebu lolote lile bila kujalisha jina [msingi mkuu ni YESU KRISTO ] na mafundisho yake , nje ya hapo hiyo ni dini ya kipagani ambayo hata YESU alipozaliwa alikuta wayahudi wakiwa nazo , Masadukayo na Mafarisayo walikuwa wapagani na wapotoshi wakuu:

Anzisha dhehebu lako hata uliite Tanganyia church so long as lina muongozo wa Yesu ni sawa.
 
Nani kakwambia madhehebu yaona yapo sawa na mengine yapo wrong?
Wacha kujilisha upepo wa vumbi!

Dhehebu lolote lile bila kujalisha jina [msingi mkuu ni YESU KRISTO ] na mafundisho yake , nje ya hapo hiyo ni dini ya kipagani ambayo hata YESU alipozaliwa alikuta wayahudi wakiwa nazo , Masadukayo na Mafarisayo walikuwa wapagani na wapotoshi wakuu:

Anzisha dhehebu lako hata uliite Tanganyia church so long as lina muongozo wa Yesu ni sawa.

Hata Gay church na satanic church wako sawa madamu wanafuata muongozo wa Yesu ??

Kwa hivyo Jehovah witness wako sawa wanaposema Yesu si Mungu au vipi ??
 
Dini ya hatari sana hii na waumini wake wana chuki ya hatari
Ukiwa angalia machoni ni kama watu wenye utu kumbe ni hatari zaidi ya hatari.

Ni wakati waislamu waondoe vifungu vyote vya chuki dhidi ya ukristo na uyahudi vilivyo asisiwa na mud baaada ya kupata upinzani kutoka kwa imani hizo kuhusu dini yake ya mchongo,waislamu wa leo wasirithi adui.
 
Hata Gay church na satanic church wako sawa madamu wanafuata muongozo wa Yesu ??

Kwa hivyo Jehovah witness wako sawa wanaposema Yesu si Mungu au vipi ??
Ngoja nikutafutie mtoto wa sunday school muulizane hayo maswali ya kitoto, mimi siyi level zako.

#Msikae baraza pa wenye mizaha
 
Back
Top Bottom