Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Alafu kuna watu walikuwa wanakuambia marekan ana kitu anaptwa na china kwa technology na uchumiMarekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
Nikweli lakini siyo jambo lakufurahia maumivu utayaona baadaye na hasa wewe uwemwathirika.Marekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
Huu uandishi ni janga kwa TaifaAlafu kuna watu walikuwa wanakuambia marekan ana kitu anaptwa na china kwa technology na uchumi
Halafu ...Marekani anapitwa hata usemeje hamna collocation na point Yako .Alafu kuna watu walikuwa wanakuambia marekan ana kitu anaptwa na china kwa technology na uchumi
“Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana. ”Marekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
Lini marekani alitoa "MISAADA YA BURE"????Marekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
sisi ni mafala wa kuokolewa tu hatuna akili ya kujiokoa ingawa tumebarikiwa kila kituMarekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
Watakuwa suprised. China anajali manufaa yake kiuchumi, kwingine mtapambanaWatu husema China, China, China. Haya mwiteni China ajaze hiyo nafasi iliyoachwa wazi na Trump. Tuone ubavu wake wa kiranja China.
AKina putin si ndio supa pawa na 2 agawe basi arv, neti za mbu, op kansa za matiti, na katika kitu ambacho USA na WHO wamesaidia watu weusi ni kufanya operation bure za watoto wenye midomo yenye kupinda . Yaani ukifaanyiwa op.kama huna uwezo unapewa na nauli ya kurudia kwenu pia vyote bure. na wameambiwa watu wawatafute watoto hao watatumiwa nauli ya kuja hosp. Ndio maana wale watu Mungu anawazidishiaMarekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!