Baada Marekani kujitoa katika misaada ya bure duniani, haya basi China iliyokuwa inajitutumia ije!

Baada Marekani kujitoa katika misaada ya bure duniani, haya basi China iliyokuwa inajitutumia ije!

Kwa hiyo watu wenye HIV na ukimwi sasa hivi watasubiria mpaka tutengeneze ARVs zetu na serikali za ki-Africa zitakapohamisha pesa kutoka maeneo mengine kufadhili ununuzi wa hizi dawa, chanjo na condom??
Hio ni wake up call kwamba huenda kesho mkiendelea kutegemea hivi litakuja gonjwa lingine ambalo mtajikuta hampo prepared...

All in all dunia ni Kijiji ifike wakati kama dunia kweli WHO iwe WHO na sio appendage ya USA..., na uwepo wa Ebola Congo ni kwa manufaa ya dunia nzima kuhakikisha Ugonjwa huo haupo sababu magonjwa haya borders; Ila ndio myopic thinking ya watu kama kina Trump, kudhani unaweza ukatupa boomerang na isikurudie na wewe

Extreme Poverty (and in this case hata magonjwa) anywhere is a threat to Humanity Everywhere...
 
Marekani baba lao. Baada ya Trump kuanza kuwarudisha makwao waamiaji haramu na kusitisha misaada ya bure kupitia USAID na kujitoa WHO, dunia nzima inalia na kumlalamikia Trump kuwa sio mtu! Kila mtu amalize mechi zake vinginevyo China sijui Urussi ijitokeze! Fyooooooh!
Yawezekana mimi sijaelewa. Nani yupo responsible kufinance miradi ya Maendeleo nchini?
Je ni USA, China au Mtanzania?
Mimi naina sasa ni wakati muafaka wa kuiwajibisha serikali yetu itimize ahadi na matarajio ya Watanzania. Utegemezi (bila kujali unategemea nani) sio sifa, ni utumwa.
Nasubiri yale ma V8 chapa 70th Anniversary yaanze kupigwa mnada ili kujazia bajeti nami ntapatamo la kwangu! Be ready!
 
... baada ya kujinyea sasa toto, Marekani, linajipaka choo!
DUNIA INAPUYANGA NA MAREKANI ITAACHWA PABAYA!
 
kwanini tumuwaze china ?kwani vyabure bado hatujavimbiwa tu ?tunataka tutawaliwe tena ama?nini maana ya uhuru kama bado tunategemea misaada?
 
Marekani wamesema wanahakiki kuona kama misaada ya dhirika lao la USAID inatumika vizuri.
Uhakiki wanasema utachukua 85 days.
 
Back
Top Bottom